Klabu ya Chelsea imetoa ruhusa kwa klabu ya Derby ya kuchezesha wachezaji wote walio kwenye mkopo ambao ni pamoja na Mason Mount na Fikayo Tomori dhidi yao wakati wa mzunguko wa nne ya kombe la Carabao. Gemu hiyo itapigwa ifikapo 31 Oktoba ambapo Football London wameripoti kuhusiana na ruhusa hiyo.
Msako wa Romagnoli
Calciomercato wameripoti kwamba klabu hiyo ya soka ya Chelsea ilituma mawakala wikiendi hii Jumapili wakati wa gemu kati ya Milan na Inter ili wakamtazame Alessio Romagnoli ambaye ni mlinzi na nahodha mwenye umri wa miaka 23 wa AC Milan ya Italia. Unadhani wataweza kumnasa?
isha
Wametisha sana
Fatina mfingi
Safi sanaa
Furahav
Safi