Mshambuliaji wa PSG Lionel Messi aliibuka na ushindi wa tuzo ya Ballon d’Or ya mwaka 2021 na kumpiku straika wa Bayern Munich Robert Lewandowski ambaye alishika nafasi ya pili kwenye …
Makala nyingine
Leo ndiyo leo asemaye kesho ni muongo Tuzo ya Ballon d’Or imerejea tena mwaka huu 2021 baada ya kukosekana kwa mwaka uliyopita kwa sababu ya janga la COVID-19 na leo …
Kiungo wa Barcelona Pedri ametajwa kuwa mshindi wa tuzo ya Golden Boy mwaka 2021 na kumbwaga Jude Bellingham wa Borussia Dortmund, Pedri mwenye umri wa miaka 18 anakuwa mchezaji wa …
Siku kadhaa baada ya Xavi Hernandez kutambulishwa rasmi kama kocha mkuu wa timu ya Barcelona, klabu imethibitisha na kutangaza benchi lake la wasidizi. Xavi amerudi baada ya kuachana na klabu …
Xavi na Barcelona walifikia makubaliano ya kuinoa timu hiyo yenye maskani yake kwenye jiji la barcelona nchini Hispania, ambapo Xavi alicheza kwa mafanikio makubwa. Barcelona haikuchukua muda mrefu kuweza kumpata …
Sergi Barjuan ametangazwa kuwa kocha muda wa timu ya Barcelona baada ya kocha mkuu Koeman kufunagashiwa vilago mpaka pale atakapotikana kocha anaweza kuchukua mikoba rasmi iliyoachwa na Koeaman. Taarifa iliyotoka …
Barcelona wapo kwenye mazungumzo na Xavi Hernández ya kumfanya kuwa kocha mkuu wa timu hiyo baada ya kumfungashia virago aliyekuwa kocha wao Ronald Koeman jana baada ya kuwa na msimu …
Mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or ameshajulikana baada ya orodha ya majina kuvuja na picha iliyoonekana katika mitandao ya kijamii inaonesha straika wa Bayern Munich ndiyo mshindi wa tuzo hiyo …
Ronald Koeman amefungashiwa virago na waajiri wake Barcelona baada ya kupokea kichapo cha goli 1-0 dhidi ya Rayo Vallecano kwenye dimba la Campo de Futbol de Vallecas. koeman amedumu Barcelona …
Barcelona itachuana na Boca Juniors katika mechi ya maonyesho huko Saudi Arabia mwezi Desemba kwa heshima ya Diego Maradona. Uzinduzi wa Kombe Maradona litafanyika Mrsool Park huko Riyadh mwezi Desemba …
Mbio za kuwania Ballon d’Or mwaka huu 2021 zimefika katika hatua ya mwisho wakati mgombea mmoja ndiye anayepewa nafasi kubwa ya kushinda tuzo hiyo mwezi Novemba 29, hii ni kwa …
Ronald Koeman na EL Clasico yake ya kwanza huku yeye akiwa mwenyeji wa kuwakaribisha Real Madrid jumapili ya leo, Koeman ambaye hana msimu mzuri tokea achukue mikoba ya kuingoza Barcelon …
Rais wa La Liga Javier Tebas amesama ana ushahidi wa kuthibitisha kuwa Paris Saint Germain wamekuwa wakitumia udanganyifu kukwepa sheria ya matumizi mabaya ya fedha “Financial Fair Play regulations.” Tebas …
Hispania, klabu ya Getafe imemfuta kazi kocha wake mkuu Michael baada ya matokeo mabovu waliyoyapata. Getafe waliweza kujipatia pointi moja kwa mara ya kwanza kwenye msimu wa 2021/22 jumapili iliyopita …
Inaki Williams 27 ataingia kwenye kumbukumbu za la liga kwa kucheza michezo mingi zaidi kwenye historia ya La Liga akiwa na klabu ya Athletics Bilbao kama atacheza leo dhidi ya …
Lionel Messi tayari ana mengi ya kuonyesha kwa kazi yake. Ameshinda Ballon d’Or mara sita zaidi ya binadamu mwingine yeyote – mataji kadhaa ya LaLiga Santander, Pichichi, Copa America, Ligi …
Antoine Griezmann amesema kwamba ana lengo la kucheza michezo mingine 100 akiwa na Barcelona baada ya kufikisha mechi 100 wikendi iliyopita. Ingawa Mafaransa huyo alikuwa akihusishwa kuondoka klabuni hapo kwa …
Wolfsburg wameondolewa kwenye DFB-Pokal baada ya kuzidisha kubadili wachezaji wakati wa mchezo wao na Preussen Muenster wa daraja la nne katika raundi ya kwanza ya mashindano. Timu ya Mark van …
Thibaut Courtois amekubali kusaini kandarasi mpya ya miaka mitano na Real Madrid. Madrid wameruhusu mabeki wenye uzoefu Sergio Ramos na Raphael Varane kuondoka klabuni, kwani wanatafuta kupunguza tatizo la kifedha …
Septemba 16, 2014, Jan Oblak alicheza mechi yake ya kwanza ya Atletico Madrid, akitafuta kuziba mapengo yaliyoachwa na David de Gea na Thibaut Courtois, lakini siku hiyo ni wachache wangeweza …