This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Makala nyingine
Makala mpya
CHANGALAWE AMPIGA MMISRI ATINGA NUSU FAINALI
Nahodha wa kikosi cha Faru Weusi wa Ngorongoro Yusuf Changalawe amefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali baada ya kumchakaza mpinzani wake Abdelgawwad Orabi Salah kutoka Misri kwa points 5-0. Huu …
HAWA WAKO KWENYE VITABU VYA KARIAKOO DABI
NGOMA inatarajiwa kupigwa Uwanja wa Mkapa, Aprili 20 2024 kwenye Kariakoo Dabi ambapo kila timu itakuwa kazini kusaka pointi tatu ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwamba kwenye mzunguko wa kwanza mchezo …
ARAJIGA APEWE KARIAKOO DABI TENA
Bodi ya Ligi Kuu nchini imemtangaza mwamuzi wa kimataifa, Ahmed Arajiga kuwa ndiye atazisimamia sheria 17 za soka katika mchezo wa NBC Premier League kati ya Yanga SC dhidi ya …
Sterling na Enzo Wako Tayari Kuivaa Man City
Wachezaji wawili wa klabu ya Chelsea ambao walikua majeruhi Raheem Sterling na Enzo Fernandez wameripotiwa kurejea mazoezini kuelekea mchezo wao wa nusu fainali wa kombe la Fa dhidi ya Man …
Ten Hag Ampongeza Sancho
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amempongeza mchezaji wake Jadon Sancho ambaye anakipiga kwenye klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani kwa mkopo. Kocha Ten Hag amempongeza Sancho …
CEO Bayern Leverkusen Anamuona Alonso Akiinoa Madrid
CEO wa klabu ya Bayern Leverkusen Carro ameweka wazi kua anamuona kocha wa klabu hiyo Xabi Alonso akija kuifundisha klabu ya Real Madrid siku za mbeleni ila hajajua ni lini. …
Harry Kane Aikamia Arsenal
Mshambuliaji wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane ameonekana kuikamia Arsenal kuelekea mchezo wa robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya utakaopigwa kesho katika …
MAYELE ANAIONEA WIVU YANGA
Mwandishi na mchambuzi nguli wa soka nchini, Edo Kumwembe, amesema kuwa mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele, anawaonea wivu YANGA. Edo amesema: “Nadhani kuna tabia ambayo Mayele aliificha akiwa …
Ali Kamwe Hawachukulii Poa Simba
UONGOZI wa Yanga kupitia kwa msemaji wao Ali Kamwe umebainisha kuwa unawatazama wapizani wao Simba kwa utofauti kutokana na uimara walionao hivyo wanawaheshimu kuelekea mchezo wao wa Kariakoo Dabi. Yanga …
KARIAKOO DABI IMEINGILIWA NA WAZEE
MAMBO yameanza kuwa mengi kuelekea mchezo wa Simba na Yanga Jumamosi hii maarufu kama Kariakoo Dabi Ambapo kila upande Umefanyaa maandalizi ya utofauti. Pande zote mbili, zimeukabidhi mchezo huo Kwa …