Pierre Emerick Aubameyang, mshambuliaji wa Arsenal amepewa onyo la kufikiria kutaka kuondoka ndani ya Klabu hiyo inayompa nafasi kwani akifanya hivyo atapotea kwenye ramani ya soka.
Imekuwa ikielezwa kuwa Aubameyang ana mpango wa kusepa ndani ya Arsenal huku AC Milan, Real Madrid na Barcelona zikitajwa kuwania saini yake. Ian Edward Wright, mshambuliaji wa zamani wa Arsenal ambaye alicheza msimu wa 1991-98 akicheza jumla ya mechi 221 na kutupia mabao 128 amesema kuwa akiendelea kuwasumbua Arsenal atapotea.
Nyota huyo amesema kuwa anatambua malengo ya Aubameyang ni kucheza michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ila ili kufikia hayo ni lazima awe na subira kwani nafasi yake ya kufanikiwa ndani ya Arsenal ni kubwa.
“Mkataba ambao anapewa na Arsenal ni mkubwa na anapaswa auheshimu akisema alete jeuri anaweza kushangaa anaanza kuchezea benchi labda Kocha Mkuu, Mikel Arteta anaweza kumpa nafasi (Gabriel) Martinelli, yeye atafunga lini?”
David Pere
Pale makombe hayapayikani kwa Sasa ,Sasa abaki anasubiri wakati hakuna faida clabuni
Mwajuma
Bora abaki tu ilikutimiza malengo yake
Samiah
Nibira awepo iliatimize malengo yake
Neema juma
Hii nafasi siyo ya kuichezea kijana bora abaki tu
Aziza mushi
Bora abaki tu.
Leonard
Aondoke tu
lombo
n kwl afanye maamuz sahh
Emmy cleopa
Bora abaki tu
Elika
Huko aendako sasa akatulie tuuu
Theonestina
Wasimng’ang’anie bwana wamuache aondoke.akitaka
warda
Heee!Kumbe ukilazimisha kuondoka unapotea#Meridianbettz
felister
maisha popote asiogope vitisho aondoke akapambane mbele
Khadija
Abaki tuu #meridianbettz
Magdalena
Akae atulie apige mpira asituchanganyie habari
Devotha
Aondoke tu
Njiku
Hawezi kuondoka arsenal kwanya mkataba wake unamfunga na anamkataba wa mda mrefuu
Antony Luseno
Wachezaji wengine uwa ni tamaa,na mara nyongi hizo tamaa uwa zinawapoza
Hidaya
Golden chance aitumie vizuri
Ernest
Muda wake umefika kwenda kujaribu bahati yake kwenye club nyingine
Sadick
Naheshimu maoni ya Ian Wright lakini pia ikiwa mchezaji anaamini mafanikio yake yatapatika kwa kucheza Ligi ya Mabingwa wacha aende ‘ mwanakulitafuta ,mwanakulipata’#meridianbettz
Hope mwaikuka
Uamuz ni wake
Hamidu
Nenda bro.ukatafute changamoto nyingine..naona huyo anaenda man utd
Gabriel
Bora abaki ili aweze kuonyesha uwezo zaid
Theckla
Wamuache aamue mwenyewe
Furahav
Baki tu hapo.
Shafii
Ni kweli mfano kamili tushaona wachezaji wengi wanapo force kuondoka kwenye club huko wanakoelekea wengi wao hawafanyi vizuri
Povel
Haondoke pale hakuna mpya thnks meridian bet kwa information
isha
Afuate maamizi yake hakuna mtu analazimishwa
Lydia Emmanuel Magoti
Huwamuzi niwake abaki au andoke
Amani
mwanakulitafuta ,mwanakulipata’#meridianbettz
Salma
Akwende huko
Agness
Bora abaki tuu
Neema juma
Akubali kubaki tu
Mwanaidi
Ni vyema akaendelea kubakia tu
Kenani
Atulize mapepe abaki tu
Genia Sikaluzwe
Ni vema akabaki tu hapo hapo tu
Dorophina
Abaki tu asilete mgogoro na arsenal
Rehema
Abaki tuu hapo hapo
Ester jackson
Aende akatafute chanel nyingine
farida ahmadi
Maamuzi yake binafsi mwenyewe kubaki hama kuondoka
Chiku
Achague moja