Klabu ya Arsenal inahusishwa na mlinzi wa eneo la kati anayekipiga katika klabu ya Sporting Lisbon ya nchini Ureno raia wa kimataifa wa Ivory Coas Ousmane Diamonde. Arsenal inahusishwa na …
Makala nyingine
Klabu ya Manchester United inaelezwa itaingia sokoni kutafuta beki wa kushoto ambaye atakuja kusaidiana kazi na beki wa kimataifa wa Uingereza klabuni hapo Luke Shaw. Manchester United inaelezwa wanapanga maboresho …
Beki wa klabu ya Man City anayekipiga klabu kwa mkopo klabu ya Barcelona Joao Cancelo ameitolea uvivu klabu yake ya City kutokana na tuhuma ambazo amekua akitupiwa. Cancelo ambaye anakipiga …
West Ham United kumnunua Angelo Ogbonna kutoka Juventus ilikuwa ‘kengele ya hatari iliyoshtua wengi’ mwaka wa 2013, alisema mkurugenzi Francesco Calvo, lakini ishara ya nguvu ya kiuchumi ambayo EPL ingekuwa …
Kocha wa timu ya taifa ya Uingereza Gareth Southgate amekanusha suala ya yeye kuhusishwa na klabu ya Manchester United ambapo yeye ameona sio kitendo cha kiungwana kwasasa. Kocha Gareth Southgate …
Beki kitasa wa Uingereza Harry Maguire, anaamini kwamba Manchester United wamempata Jude Bellingham wao kupitia kwa kijana chipukizi Kobbie Mainoo. Mwenye umri wa miaka 18 ameibuka kwa nguvu United na …
Destiny Udogie anasema muda wake katika Tottenham umempa ‘uwezo wa mwili’ na ‘kasi uwanjani’ lakini anakiri awali Italia iliidharau Venezuela. Beki huyo wa zamani wa Udinese alicheza kwa dakika 90 …
Winga wa klabu ya Liverpool na timu ya Taifa ya Colombia Luis Diaz inaelezwa hana mpango wowote wa kujiunga na mabingwa wa ligi kuu nchini Ufaransa klabu ya soka ya …
Nahodha wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Ureno Bruno Fernandes amesema anahitaji kubaki ndani ya klabu hiyo kwa muda mrefu zaidi na hana mpango wa kutimka. Bruno …
Beki wa klabu ya Arsenal raia wa kimataifa wa Japan Takehiro Tomiyasu amefanikiwa kuongeza mkataba wa kuendelea kuwatumikia washika mitutu hao kutoka jiji la London. Beki Tomiyasu ameongeza mkataba ambao …
Beki wa klabu ya Manchester United Lisandro Martinez ameonekana kwenye kambi ya timu ya taifa ya Argentina akifanya mazoezi na wenzake ikiwa ni taarifa nzuri kwa mashabiki wa klabu hiyo. …
Kiungo wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Denmark Christian Eriksen amefunguka kua anachukizwa na yeye kutokupata muda wa kucheza ndani ya klabu hiyo kwasasa. Kiungo Eriksen amesema …
Bosi mpya wa klabu ya Manchester United Sir Jim Ratcliffe ameweka wazi kua hana mpango wowote wa kumnunua mshambuiliaji wa kimataifa wa Ufaransa na klabu ya PSG Kylian Mbappe. Sir …
Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag amekanusha taarifa za mshambuliaji wake klabuni hapo Marcus Rashford kuhusishwa na mabingwa wa ligi kuu ya Ufaransa klabu ya PSG. Kumekua na tetesi …
Beki wa kulia wa klabu ya Arsenal na timu ya taifa ya Uingereza Ben White amefanikiwa kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo kwa miaka mingine minne. Ben White moja …
Mchezo wenye hadhi ya nyota tano umepigwa pale katika dimba la Anfield kati ya klabu ya Liverpool wenyeji wa mchezo dhidi ya mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza klabu …
Klabu ya Manchester United ipo kwenye mazungumzo ya kumpa mkataba mpya kinda wake kiungo Kobbie Mainoo ambapo mpaka sasa mazungumzo yanaendelea baina ya pande zote mbili. Manchester United inaelezwa inapanga …