WINGA matata wa klabu ya Manchester City na timu ya taifa ya Algeria Riyad Mahrez anazidi kuwa mtamu na kiwango chake kimeonekana kuwa kikubwa kila mechi, na sasa kwenye mechi 211 alizocheza klabuni hapo amehusika kwenye mabao 116. Odds kubwa za soka uanzipata Meridianbet.

 

Mahrez

Mahrez mwenye umri wa miaka 31 amekuwa na mchango mkubwa kwa Manchester City na klabu yake ya zamani Leicester City kwani kwa sasa ameweka rekodi yake nzuri ya kuhusika kwenye mabao 200 kwenye mechi 390 alizocheza EPL. Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, Usikose hii!!.

✍️ Leicester City πŸ‘‰ Mechi 179 | mabao 48⚽ | asisti 36.
✍️Man City πŸ‘‰ Mechi 211 | mabao 71⚽ | asisti 45.

Mahrez msimu huu wa 2022/23 kwenye EPL amecheza michezo 12 amefunga mabao 2 na kutoa asisti 1, huku akioneshwa kadi ya njano moja. Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kubashiri.

JIBU

Tafadhali andika maoni yako
Tafadhali andika jina lako hapa