Makala nyingine

Aliyekuwa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Ubelgiji Shaun Maloney ameachana na majukumu hayo na kuwa kocha mkuu wa klabu ya Hibernian. Maloney alilamba dili kwenye benchi la ukufunzi …

Nicolo Barella ameongeza mkataba wa kusalia na Inter Milan mpaka june 2026, Inter wametangaza kuwa Nicolo amesaini ,kataba mpya utakaomuweka kwenye klabu mpaka tarehe  30 june 2026. Barella alijiunga na …

Christian Eriksen hataweza kuendelea kucheza katika Serie A – na soka la Italia kwa jumla – isipokuwa kama defibrillator yake itaondolewa, mtaalam anayeongoza wa kisayansi wa Italia amethibitisha. Eriksen amewekewa …

Didier Deschamps ataendelea kuwa mkufunzi mkuu wa timu ya taifa ya Ufaransa, rais wa Shirikisho la Soka la Ufaransa (FFF) amethibitisha. Deschamps alisimamia kampeni ya Euro 2020 wakati Ufaransa ilipotupwa …

Wakati Italia ikijiandaa kukabiliana na Ubelgiji katika robo fainali ya Euro 2020 huko Munich Ijumaa jioni, wanajua kuwa matokeo yanategemea kama wataweza kumzuia mchezaji wanayemjua vizuri: Romelu Lukaku. Lukaku amekuwa …

Alvaro Morata anasema anajua ni kwanini amekuwa akipigiwa buu! wakati wa Euro 2020 lakini hajawa tayari kuzungumzia sababu hadi baada ya mashindano kumalizika. Mshambuliaji huyo wa Juventus amefunga mara mbili …

Juni 28 2021 itakuwa ambayo Kylian Mbappe ataikumbuka kwa muda mrefu, baada ya bahati mbaya ya kukosa penati dhidi ya Switzerland kumuangukia na Ufaransa kuondolewa lwenye michunao ya Euro 2020  …

1 2