Baada ya mechi ya raundi ya 16 kati ya Ureno na Ubelgiji, Cristiano Ronaldo na Thibaut Courtois wachezaji wawili waliyowahi kucheza pamoja walihusika kwenye matanange huo walikumbatiana na kubadilishana maneno …
Makala nyingine
Kutokana na tetesi zinazo zinazoendelea kuhusiana na Kylian Mbappe kwenda Real Madrid zimemgusa Andre Villas-Boas ambaye anaamini Mfaransa hatima ya mchezaji huyo itaishia Los Blancos kwa namna fulani. Mkataba wa …
Karim Benzema aliweza kuifungia tena timu ya taifa ya Ufaransa baada ya siku 2085 kupita kwenye mchezo dhidi ya Ureno katika michuano inayoendelea ya Euro 2020 huko Puskas Arena mchezo …
Katika mechi zinazosubiriwa kwa hamu kubwa katika hatua ya makundi ya kundi F au maarufu kama kundi la kifo ni kati ya France dhidi ya Portugal. Ugumu wa mechi hii …
Mchezaji na nahodha wa timu ya Croatia, Luca Modric aliendelea kuonesha ubora wake jana usiku katika fainali za EURO 2020 baada ya kuisaidia timu yake hiyo ya taifa kupata ushindi …
Kunako Euro 2020 Ufaransa, England, Jamhuri ya Czech, Sweden na Uswizi zote zimejihakikishia kusonga mbele bila hata kushinda mechi za mwisho kwa sababu zina alama nne na hazitamaliza vibaya zaidi …
Harry Kane ni moja ya majina makubwa yanayohusishwa na uhamisho wa kiangazi mwaka huu, baada ya kutoa maoni yake kuelekea mwisho wa msimu wa 2020/21 ambao alipendekeza kuwa tayari kuondoka …
Toni Kroos alionekana kuongea jmabo na Christiano Ronaldo wakati wa mchezo wa Euro 2020 wa Ureno dhidi ya Ujerumani kumalizika, mchezo ambao Ureno iliambulia kipigo cha 4-2 siku ya Jumamosi. …
Gareth Bale ameeleza kwamba yupo tayari kurejea Real Madrid wakati huu wa majira ya joto, na amemsifu Carlo Ancelotti na kuelezea kuwa ana mahusiano makubwa na kocha huyo Muitalia. Ingawa …
Real Sociedad wamefikia makubaliano na Borussia Dortmund ya kuiondoa Kipengele cha kununua tena Alex Isak kwa klabu hiyo ya Ujerumani na kupunguza ada ya uhamisho ya euro 30 badala kifungu …
Rafael Varane alimsifu Paul Pogba kwa kiwango chake katika ushindi wa Ufaransa dhidi ya Ujerumani wa 1-0 siku ya Jumanne usiku na kumsifia kwa jinsi ambavyo hakujibu kwaruzano na Antonio …
Thamani ya Coca Cola ilipungua kwa kiasi cha dola bilioni nne baada ya Cristiano Ronaldo kudharau chupa mbili kutoka mahali pao kwenye mkutano wake na waandishi wa habari Jumatatu. Nyota …
Huku tetesi nyingi za usajili zikiendelea kwenye ligi kuu bara, Msimbazi kuna sitofahamu kubwa kuhusu nafasi ya viungo wakabaji wa timu hiyo, Gerson Fraga anahusishwa kurudi Msimbazi huku Jonas Mkude …
Daktari wa timu ya taifa ya Denmark Morten Boesen amebaini kuwa Christian Eriksen alikuwa amekufa baada ya kuanguka wakati wa mchezo wa Kundi B na Finland. Kabla ya nusu saa, …
Barcelona bado wanafanya kazi ya kumsaini Memphis Depay juu ya uhamisho wa bure, lakini mazungumzo yamekwama kidogo. Kikosi cha Kikatalani kilitaka kumtangaza mshambuliaji huyo kama usajili wao mpya kabla ya …
Eden Hazard alicheza dakika 10 tu katika mechi ya mwisho ya kirafiki ya Ubelgiji kabla ya Mashindano ya Euro 2020, lakini kocha Roberto Martinez alisisitiza kuwa lengo lao ni kumuona …
Mchezaji wa Man United, Jesse Lingard ambaye aliponesha kiwango safi baada ya kujiunga na West Ham United, ameonesha ukomavu katika soka. Ama hakika, uungwana ni vitendo. Lingard alimaliza msimu wa …