Azam FC wamekamilisha usajili wa kiungo mkabaji wa kimataifa wa Rwanda, Ally Niyonzima, kwa mkataba wa miaka miwili.
Niyonzima aliyekuwa akicheza Rayon Sports ya Rwanda, usajili wake ni sehemu ya mapendekezo ya benchi la ufundi la Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Aristica Cioaba.
Kiungo huyo nyota mwenye umbo kubwa, amesaini mkataba leo Jumamosi mbele ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin ‘Popat’.
Niyonzima, ambaye yumo kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Rwanda ‘Amavubi’, anakuwa mchezaji wa pili kusajiliwa na Azam FC kwa ajili ya msimu ujao.
Usajili wa kwanza ulikuwa ni wa kiungo Awesu Awesu, kwa usajili huru akitokea Kagera Sugar.
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.
felister
kiungo mkabaji
Antony Luseno
Azam wameweka unyonge pembeni katika swala la kusajili,hii yote ni maandilizi ya msimu ujao ya VPL
Adelta
Mashabiki wanamkubali Sana
Niyonzima@meridianbettz
Sadick
Azam inataka kurudi enzi za kushindania mataji, tunasubiri kuona ushindaji ktk ligi#meridianbettz
Fatina mfingi
Kiungo mnzur na azam honger yao kwa kumpat!!
Zeiyana
Kwa usajili huu wanao hufanya azam wanaweza kurudi kwenye ali yao ya zamani
Sauda
Kazi njema Niyonzima
Mwajumah
Azam wamefanya Jambo la maana sana kumsaliji huyu jamaa #Meridianbettz
Ernest
Msimu huu wachezaji wengi walijituma watapata madili sana hapa kwenye ligi yetu kwani karibia timu zote zimeingia sokoni kujiimarisha zaidi.
Caroline
Nenda salama
Khadija
Jambo zuri sana kumsajiri kiungo mshambuliaji#meridianbettz
Theonestina
Tunaisubir kuiona Azam ikifanya vizur zaid
aisha
Kila la kheri brooo
Lydia Emmanuel Magoti
Jambo zuri kiungo mzuri kalibia Azam
Furahav
Anaonekana yuko vizuri.
Rehema
Ni kiungo makini
Tatu
Azam wamefanya kitu cha msingi kumsajili miyonzima bonge LA mchezaji
Ester jackson
Azam mnajitahidi sana
Genia Sikaluzwe
Jamaa yuko vizuri
Johnmary joel
Namkubari sanaa #meridianbett
Issa
Azam wamefanya usajili hatari
Shafii
Deal nzuri kwa wana lamba lamba hao.
jullie
DEAL DONE
Flomena
Good news
Povel
Hongera kwao AZAM natumain next season wanawez toa ushndan kwa TIMU za kkoo
Gabriel
Habar njema
Amiri Kayera
Safii Azam fc
Saupha mohamed
Jamaaa anajua
Sabrina
Niyonzima fundiii
Samiah
Kiongo mkabaji
Rose kapinga
Hatar xana uyo jamaaa!!!
lombo
mambo n moto
Hope mwaikuka
Gud
Frank Patrick
Tunataka league yenye ushindani msimu ujao
Zuhura omary kindamba
Mchezaji mzuri sana
Fatuma kasomo
Jambo zuri
Latifa juma mohamed
Kijana mahiri Sana niyonzima,Azam club wamefanya vema kumchukua huyu kijana.
JULIANA
Kambi popote kikubwa kujitambua zaidi
Dorophina
Azam wamefanya usajili wa maana sana niyonzima ni kuliungo mzuri sana lazima ataleta changamoto azam
Theckla
Kila laher ally
David Pere
Safi sanaa maana ataongeza nguvu katika kikosi Chao ili wafanye vizuri msimu ujao
tumaini
hongera azam kwa kuimarisha kikosi
Mwanahamisi
Mambo ni moto
Magdalena
Azam wamefanya Jambo zuri Sana katika usajili wa niyonzima
Angelina
Kila la kheri Niyonzima
Omary lukumbi
Kazi mzr azam fc
Devotha
Kila la kheri
farida ahmadi
Safiiii niyonzima
warda
Nimeupenda sana usajili wa Azam FC