Makala nyingine

Mshambuliaji wa klabu ya PSG Kylian Mbappe inaelezwa mapema asubuhi ya leo amewaaga wachezaji wenzake na kuwaeleza ataondoka ndani ya klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu. Mwanzoni mwa wiki hii …

Klabu ya Olympique Lyon imemtimua kocha wake Fabio Grosso baada ya matokeo mabaya ambayo yanaendelea kutokea ndani ya klabu hiyo kwenye michuano mbalimbali. Klabu ya Olympique lyon imefukuza makocha takribani …

Ripoti kutoka Ufaransa zinasema kuwa Fabio Grosso huenda akafutwa kazi na Olympique Lyon hivi karibuni baada ya matokeo kushindwa kuimarika.   Kocha huyo wa Kiitaliano mwenye umri wa miaka 46 …

Kocha wa klabu ya PSG Luis Enrique amesema kua winga wake raia wa kimataifa wa Ufaransa Ousmane Dembele atarejea kwenye kiwango chake bora, Hii ni kutokana na maneno ambayo anatupiwa …

Nuno Mendes Majanga PSG

Beki wa klabu ya PSG na timu ya taifa ya Ureno Nuno Mendes anatarajiwa kua nje ya uwanja kwa kipindi cha miezi minne kutokana na majeraha ambayo ameyapata katika goti …

Kocha wa klabu ya PSG Luis Enrique amezungumza na kumsifia winga wa klabu hiyo kua ni mchezaji mzuri na kusema kua kama angekua shabiki wa timu nyingine angelipa tiketi kwajili …

Klabu ya Olympique Lyon imetangaza kumfuta kazi aliyekua kocha wake Laurent Blanc baada ya klabu hiyo kutokua na matokeo mazuri katika michezo yake ya ligi kuu ya Ufaransa. Olympique Lyon …

Mshambuliaji wa klabu ya PSG Kylian Mbappe anatarajia kuwepo kwenye kikosi cha klabu hiyo kuelekea mchezo ujao wa timu hiyo dhidi ya klabu Tolouse. Mbappe amerejea kwenye klabu ya PSG …

1 2 3 4 37 38 39