Inadaiwa kuwa huenda klabu ya Manchester United ikamnasa mchezaji beki Leonardo Bonucci wa AC Milan. Inatokana na timu hiyo kufungiwa kushiriki mashindano ya Ulaya kwa kesi ya masuala ya fair …
Makala nyingine
Klabu ya soka ya Chelsea inakaribia kuikimbiza kabisa Real Madrid kwenye hekaheka za kumsajili mchezaji nyanda wa Roma, Alisson! Hii ni katika mkataba unaomthamini mchezaji huyo wa Brazil mwenye umri …
Uwanjani leo kuna jumla ya mechi nne kwenye Kombe la Dunia na kocha Carlos Queiroz atakuwa akikiongoza kikosi chake katika kusaka taji hilo na mechi yao leo ni dhidi ya …
Real Madrid imesaini mkataba wa muda wa miaka 6 na mchezaji kinda Andriry Lunin. Huyu anatokea Ukraine kwa klabu ya Zorya Luhansk. Kwa sasa kinda huyo ana umri wa miaka …
Hii inakuja ikiwa ni baada ya wao kukosa kupenya mwaka 2014 ambapo sasa timu ya taifa ya Denmark inakwaana na mataifa kadhaa kuhakikisha wanafanikiwa kwenye Kombe la Dunia. Mchezaji Eriksen …
Leo ndiyo leo dimbani! Ivan Rakitic, Luka Modric na Ivan Perisic ni viungo bora kwenye michuano ila walishindwa kabisa kufanya kitu kwenye hatua ya makundi kwenye mara tatu za mwisho …
Alasiri ya leo dimbani kocha wa Colombia, Jose Pekerman pamoja na mchezaji wake staa Radamel Falcao watakuwa dimbani kuumana na Japan kwenye gemu za ufunguzi wa Kundi H la michuano …
Nabil Maaloul ambaye ni kocha wa taifa la Tunisia anakiongoza kikosi chake kuwinda taji la Kombe la Dunia leo hii! Ikiwa ni mara baada ya wao kuonekana kwenye fainali 3 …
Kocha mkuu wa taifa la Uruguay, Oscar Tabarez anakiongoza kikosi chake leo ikiwa ni baada ya kampeni ya mwisho ya Uruguay kwenye Kombe la Dunia iliyoshuhudiwa Suarez akimng’ata Giorgio Chiellini! …
Hiki hapa ni kikosi kamili cha Brazil kuelekea Kombe la Dunia mwaka huu kule nchini Urusi: Walinda lango: Alisson (Roma), Ederson (Manchester City), Cassio (Corinthians). Mabeki: Danilo (Manchester City), Fagner …
Willian ambaye ni kiungo wa Chelsea na ambaye kwa sasa ni mmoja wa wasakata kabumbu ambao wanaunda timu ya taifa ya Brazil amefunguka na kusema kwamba Fred amejiunga na timu …
Inadaiwa kwamba mkufunzi wa klabu ya soka ya Newcastle, Rafael Benitez anahitaji kuungana tena na msakata kandanda Martin Skrtel ambaye ni beki wa zamani wa klabu ya Liverpool siku za …
Kwa mujibu wa chanzo cha habari za michezo cha Daily Express inadaiwa kwamba meneja wa Manchester United, Jose Mourinho ana hofu juu ya ushindani wa malipo ya kifedha kwenye usajili …
Vyanzo kadHaa vya habari vinasema kuwa Mashetani Wekundu wamepeleka maombi yenye thamani ya euro milioni 96 kwa moja ya klabu kubwa maarufu za huko Italia, Serie A. Ombi lao ni …
Wachezaji washambuliaji akina Lionel Messi, Sergio Aguero, Paulo Dybala na Gonzalo Higuain wametajwa kwenye kikosi cha wasakata kabumbu 23 ambao wataiwakilisha nchi ya Argentina katika michuano ya kuwania Kombe la …
Ikiwa zimesalia siku chache sana kuanza kwa michuano ya kuwania Kombe la Dunia huko Urusi mwaka huu hiki hapa ni kikosi cha taifa la Ureno: Walinda lango: Anthony Lopes (Lyon), …
Klabu ya soka ya Manchester United itampatia kipaumbele mchezaji beki wa kushoto wa klabu ya Juventus na Brazil, Alex Sandro ambaye ana miaka 27 kubeba nafasi ya mchezaji beki wa …
Habari zinaelezea kwamba mkufunzi wa klabu ya soka ya Liverpool, Jurgen Klopp amefunguka na kusema kwamba uwezekano wowote wa mshambuliaji wa Misri, Mo Salah kuuzwa mwisho wa msimu huu haupo …
Habari zinadai kuwa Real Madrid ya Hispania imekubali ombi la dau la paundi milioni 113 la mchezaji wao winga, Gareth Bale! Mchezaji huyu ana umri wa miaka 28 kwa sasa …
Mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Chelsea na Ufaransa, N’Golo Kante amefungukia uvumi wa yeye kuhamia klabu ya Ufaransa ya PSG. Kiungo huyu mwenye umri wa miaka …