Masuala ya kodi imekuwa ni tatizo kubwa sana huko majuu Hispania ikihusisha wasakata kabumbu na makocha! Siku kadhaa nyuma waendesha mashtaka wa nchini huko wametaka mchezaji wa zamani wa klabu …
Makala nyingine
Inadaiwa kwamba klabu ya soka ya Manchester United imehitaji kumfanyia usajili mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya Chelsea na Brazil, Willian. Wanataka kufanya hivi mwishoni mwa msimu huu wakati …
Southampton imethibitisha kwamba Mark Hughes ndiye meneja wao wa kikosi cha kwanza klabuni hapo! Hughes amepata kibarua hicho kwa mkataba unaoenda mpaka mwishoni mwa msimu huu na jukumu lake la …
Inadaiwa kwamba Marco Silva ambaye alikuwa ni mkufunzi wa klabu ya soka ya Watford ni moja wapo ya wakufunzi wanaoonekana kwamba ni dhahiri watachukua kazi ya kuifudisha klabu ya soka …
Habari zinasema kwamba klabu za soka za Watford, Liverpool, Arsenal na West Ham zote zinamuwinda msakata kabumbu nafasi ya kiungo cha kati wa Benfica, Bryan Cristante wa Ureno. Pamoja na …
Kumekuwa na mazungumzo kuhusiana na mkataba mpya kati ya Courtois na klabu yake ya Chelsea ambayo yamesogezwa mbele mpaka majira ya joto msimu huu. Mazungumzo hayo yanatokana na habari kwamba …
Moja ya tovuti za habari za soka zinadai kwamba klabu ya soka ya Real Madrid inamfanyia uchunguzi mchezaji nafasi ya winga wa klabu ya Manchester City ya kule Uingereza! Anayezungumziwa …
Kwa mujibu wa AS inadaiwa kwamba mchezaji nafasi ya mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid, Karim Benzema anafukuziwa na vilabu vinne huko majuu! Mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 30 …
Msukuma gozi mpya wa Mashetani Wekundu wa jiji la Manchester, Alexis Sanchez amepata hukumu ya miezi 16 jela! Hii imetokana na kosa lake la ukwepaji wa kulipa kodi wakati akiwa …
Mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Liverpool, Emre Can anaweka wazi kwamba hajasaini makubaliano ya kujiunga na Juventus msimu huu! Anasema kuwa kwa sasa bado anaongea na …
Liverpool imeamua kukacha mkakati wao wa kumsajili winga wa klabu ya Monaco, Thomas Lemarbada! Hii ni mara baada ya klabu hiyo kuomba dau la paundi milioni 90 kwa mchezaji huyo! …
Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na habari kuwa meneja wa klabu ya soka ya Chelsea, Antonio Conte ana uwezekano mkubwa wa kuondoka pale Darajani Stamford kipindi cha mwisho mwa …
Kuna habari kuwa klabu ya Chelsea inamhitaji sana mchezaji mshambuliaji wa klabu ya huko Ujerumani ya Borussia Monchengladbach na Ubelgiji aitwaye Thorgan Hazard! Mchezaji huyu ana umri wa miaka 24 …
Mwanasoka mahiri Philippe Coutinho atalazimika kukaa nje ya uwanja kwa muda wa majuma matatu! Hii ni mara baada ya vipimo vya klabu mpya iliyomsajili Barcelona kugundua kwamba staa huyo ana …
Mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Shakhtar Donetsk na Brazil Fred ambaye ana umri wa miaka 24 anasema anangojea kwa hamu kubwa kupokea simu ya meneja Guardiola …
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza na Cardiff City Rickie Lambert ametangaza kustaafu leo kucheza mpira wa miguu baada kuutumikia kwa takribani miaka 19. Lambert 35 amechezea vilabu mbalimbali …
Hapo juzi viwango vipya vya ubora wa FIFA vimetangazwa ambapo timu za kandanda za mataifa ya Kenya na Tanzania zimeshuka sana! Hiyo ni orodha ya kila mwezi inayotolewa na FIFA. …
Kumekuwa na habari kutoka kwenye vyombo vya habari huko Uingereza ambazo zinaripoti kwamba mchezaji nafasi ya kiungo David Silva yupo mbioni kusepa kwenda Uturuki kukipiga kwa Fenerbahce! David Silva amekuwa …
Klabu ya soka ya Burnley imemnunua mshambuliaji Chris Wood anayetokea kule Leeds United! Bei yake imetajwa kuwa ndiyo iliyovunja rekodi ya klabu hiyo katika usajili ambapo ni dau la takribani …
Siku kadhaa nyuma kulikuwa na habari kwamba klabu ya soka ya AS Roma imeanza kukata tamaa ya kumnasa mchezaji Riyad Mahrez! Ilikuwa ni mara baada ya wao kuona kuwa klabu …