Makala nyingine

Masuala ya kodi imekuwa ni tatizo kubwa sana huko majuu Hispania ikihusisha wasakata kabumbu na makocha! Siku kadhaa nyuma waendesha mashtaka wa nchini huko wametaka mchezaji wa zamani wa klabu …

Inadaiwa kwamba klabu ya soka ya Manchester United imehitaji kumfanyia usajili mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya Chelsea na Brazil, Willian. Wanataka kufanya hivi mwishoni mwa msimu huu wakati …

Southampton imethibitisha kwamba Mark Hughes ndiye meneja wao wa kikosi cha kwanza klabuni hapo! Hughes amepata kibarua hicho kwa mkataba unaoenda mpaka mwishoni mwa msimu huu na jukumu lake la …

Habari zinasema kwamba klabu za soka za Watford, Liverpool, Arsenal na West Ham zote zinamuwinda msakata kabumbu nafasi ya kiungo cha kati wa Benfica, Bryan Cristante wa Ureno. Pamoja na …

Madrid Kutua City!

Moja ya tovuti za habari za soka zinadai kwamba klabu ya soka ya Real Madrid inamfanyia uchunguzi mchezaji nafasi ya winga wa klabu ya Manchester City ya kule Uingereza! Anayezungumziwa …

Kwa mujibu wa AS inadaiwa kwamba mchezaji nafasi ya mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid, Karim Benzema anafukuziwa na vilabu vinne huko majuu! Mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 30 …

Mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Liverpool, Emre Can anaweka wazi kwamba hajasaini makubaliano ya kujiunga na Juventus msimu huu! Anasema kuwa kwa sasa bado anaongea na …

Liverpool imeamua kukacha mkakati wao wa kumsajili winga wa klabu ya Monaco, Thomas Lemarbada! Hii ni mara baada ya klabu hiyo kuomba dau la paundi milioni 90 kwa mchezaji huyo! …

Kuna habari kuwa klabu ya Chelsea inamhitaji sana mchezaji mshambuliaji wa klabu ya huko Ujerumani ya Borussia Monchengladbach na Ubelgiji aitwaye Thorgan Hazard! Mchezaji huyu ana umri wa miaka 24 …

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza na Cardiff City Rickie Lambert ametangaza kustaafu leo kucheza mpira wa miguu baada kuutumikia kwa takribani miaka 19. Lambert 35 amechezea vilabu mbalimbali …

Kumekuwa na habari kutoka kwenye vyombo vya habari huko Uingereza ambazo zinaripoti kwamba mchezaji nafasi ya kiungo David Silva yupo mbioni kusepa kwenda Uturuki kukipiga kwa Fenerbahce! David Silva amekuwa …

1 2 3 589 590 591 592 593