Mchezaji mshambuliaji wa kitambo klabuni Arsenal, Thierry Henry aliyepo kwenye kikosi cha ukocha wa taifa la Ubelgiji amekubali kwa maneno kuchukua uongozi wa Aston Villa ya Uingereza. Inadaiwa kuwa anaenda …
Makala nyingine
Mchezaji kinda, Mbappe amemkataa kabisa Messi na kumpa nafasi Ronaldo katika mbio za kuwinda taji la Ballon d’Or ambapo staa huyo wa Paris Saint-Germain amemtaja mshambuliaji huyo mpya wa Juventus, …
Klabu ya Uturuki, Fenerbahce imewasilisha maombi ya kumfanyia usajili mchezaji mshambuliaji wa klabu ya EPL Ligi Kuu ya Uingereza, Tottenham na Uholanzi, Vincent Janssen. Janssen ana umri wa miaka 24 …
Klabu ya Chelsea inatafakari juu ya wao kukubali kumpiga bei mchezaji kiungo wao wa kati wa huko Brazil, Willian kwa dau linalotajwa kuwa ni £65m kwenda Barcelona ya huko Hispania. …
Shirikisho la Kandanda Ujerumani limekataa katukatu kuhusika na tuhuma za ubaguzi kwa mchezaji Mesut Özil na kuwa lilipaswa kuwajibika kuhakikisha kuwa mchezaji huyo hapitii ubaguzi wowote ule. Mchezaji Özil alitangaza …
Msakata kabumbu Mesut Ozil amejitoa kucheza kwenye timu ya taifa ya Ujerumani! Anasema kuwa yeye amestaafu kwa sababu ya ubaguzi wa rangi na dharau kutoka kwa Chama cha Soka Ujerumani …
Daily Star wanaweka wazi kuwa Sheffield United wamewasilisha maombi ambayo yamevunja rekodi kwa £5m kwa ajili ya mshambuliaji wa Uingereza, Martyn Waghorn. Mshambuliaji huyu ana umri wa miaka 28 kwa …
Aurelio de Laurentiis ambaye ni Rais wa Napoli amesema kuwa timu yake ya Serie A ilipendezwa sana na huduma ya Cristiano Ronaldo kabla ya mchezaji huyu wa Ureno kujiunga na …
Hizi hapa ni mechi za kirafiki watakazocheza Liverpool kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa EPL mwaka 2018/2019: Liverpool / Pre-season 2018/19: 07-7-2018/ Chester FC vs Liverpool 11-7-2018/ T. …
Hizi hapa ni mechi za kirafiki watakazocheza Chelsea kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa EPL mwaka 2018/2019: Chelsea / Pre-season 2018/19: 23-7-2018/ Perth Glory vs Chelsea 25-7-2018/ Chelsea …
Moja ya klabu kongwe Ligi Kuu ya Uingereza, Liverpool ipo katika tafakuri juu ya kumnunua msakata kabumbu Grzegorz Krychowiak wa huko Poland. Mchezaji huyo kiungo wa kati ana miaka 28 …
Staa wa Ureno, Cristiano Ronaldo amesaini mkataba wa miaka minne na klabu ya Juventus ya huko Italia ambapo dau lake ni la dunia nzima! Mwanzo kabisa dau kubwa la fedha …
Hizi hapa ni mechi za kirafiki watakazocheza Tottenham Hotspurs kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa EPL mwaka 2018/2019: Tottenham Hotspur / Pre-season 2018/19 26-7-2018/ AS Roma vs Tottenham …
Hatua ya Nusu ya Fainali ya kwanza ya michuano ya Kombe la Dunia Urusi inatimua vumbi leo kwa mtanange mmoja kuchezwa dimbani Saint Petersburg. Itakuwa ni kati ya Ufaransa na …
Endapo ulitegemea kwamba golikipa wa klabu ya soka ya Liverpool, Loris Karius atakaa benchi au kuondoka kabisa klabuni pale basi sahau kabisa kuhusu hilo. Kwa mujibu wa ripoti kutoka vyanzo …
Klabu ya Manchester United ipo tayari kuweka mezani dau la paundi milioni 40 ili wamnase mchezaji mwenye umri wa miaka 22 kutoka PSV Eindhoven ambaye pia ni mshambuliaji wa Mexico, …
Hizi hapa ni mechi za kirafiki watakazocheza Manchester City kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa EPL mwaka 2018/2019: Manchester City / Pre- season 2018/19: 21.7.2018/ Man City vs …
Washika Mitutu wa klabu ya Arsenal wanasemekana kuwa wanazungumza na Lorient juu ya kumsaini Matteo Guendouzi ambaye ana umri wa miaka 19 kutokea huko Ufaransa na kwa sasa yupo kwenye …
Hizi hapa ni mechi za kirafiki watakazocheza Manchester United kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa EPL mwaka 2018/2019: Manchester United / Pre-season 2018/19 20-7-2018/ CF America vs Man …
Hapo jana usiku mara baada ya Ubelgiji kuwatwanga Brazil kwa magoli 2-1 wamefanikiwa kuingia nusu fainali na inakuwa ni mara ya pili kwao kufikia hatua kama hii. Jikumbushe Kwa mara …

