Makala nyingine

Mchezaji mshambuliaji wa kitambo klabuni Arsenal, Thierry Henry aliyepo kwenye kikosi cha ukocha wa taifa la Ubelgiji amekubali kwa maneno kuchukua uongozi wa Aston Villa ya Uingereza. Inadaiwa kuwa anaenda …

Klabu ya Uturuki, Fenerbahce imewasilisha maombi ya kumfanyia usajili mchezaji mshambuliaji wa klabu ya EPL Ligi Kuu ya Uingereza, Tottenham na Uholanzi, Vincent Janssen. Janssen ana umri wa miaka 24 …

Shirikisho la Kandanda Ujerumani limekataa katukatu kuhusika na tuhuma za ubaguzi kwa mchezaji Mesut Özil na kuwa lilipaswa kuwajibika kuhakikisha kuwa mchezaji huyo hapitii ubaguzi wowote ule. Mchezaji Özil alitangaza …

Ipswich Nao Wamo!

Daily Star wanaweka wazi kuwa Sheffield United wamewasilisha maombi ambayo yamevunja rekodi kwa £5m kwa ajili ya mshambuliaji wa Uingereza, Martyn Waghorn. Mshambuliaji huyu ana umri wa miaka 28 kwa …

Aurelio de Laurentiis ambaye ni Rais wa Napoli amesema kuwa timu yake ya Serie A ilipendezwa sana na huduma ya Cristiano Ronaldo kabla ya mchezaji huyu wa Ureno kujiunga na …

Hizi hapa ni mechi za kirafiki watakazocheza Chelsea kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa EPL mwaka 2018/2019: Chelsea / Pre-season 2018/19: 23-7-2018/ Perth Glory vs Chelsea 25-7-2018/ Chelsea …

Moja ya klabu kongwe Ligi Kuu ya Uingereza, Liverpool ipo katika tafakuri juu ya kumnunua msakata kabumbu Grzegorz Krychowiak wa huko Poland. Mchezaji huyo kiungo wa kati ana miaka 28 …

Staa wa Ureno, Cristiano Ronaldo amesaini mkataba wa miaka minne na klabu ya Juventus ya huko Italia ambapo dau lake ni la dunia nzima! Mwanzo kabisa dau kubwa la fedha …

Hizi hapa ni mechi za kirafiki watakazocheza Tottenham Hotspurs kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa EPL mwaka 2018/2019: Tottenham Hotspur / Pre-season 2018/19 26-7-2018/ AS Roma vs Tottenham …

Endapo ulitegemea kwamba golikipa wa klabu ya soka ya Liverpool, Loris Karius atakaa benchi au kuondoka kabisa klabuni pale basi sahau kabisa kuhusu hilo. Kwa mujibu wa ripoti kutoka vyanzo …

Klabu ya Manchester United ipo tayari kuweka mezani dau la paundi milioni 40 ili wamnase mchezaji mwenye umri wa miaka 22 kutoka PSV Eindhoven ambaye pia ni mshambuliaji wa Mexico, …

1 2 3 590 591 592 593 594 595 596
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.