AS Roma makamu wa rais Ryan Friedkin amerudi katika mji mkuu wa Italia kusimamia mazungumzo ya mkataba na wakala wa Paulo Dybala, Carlos Novel, huku pande zote mbili zikitarajiwa kuongeza kasi ya mazungumzo ya kuongeza mkataba katika siku zijazo wakati hatma ya Roma ya kufuzu UEFA Champions League ikiwa bado haijafahamika.




