Christian Eriksen Kuruhusiwa Kuondoka Inter.

Kwenye maisha ya soka, kuna wachezaji wakitoka timu moja kwenda nyingine inakuwa kama ni mkosi. Christian Eriksen wa Inter Millan, sio yule wa Tottenham. Amepatwa na nini?

Maisha ndani ya Inter Millan yamemuendea kombo Christian Eriksen na sasa uwezekano wa kuoneshwa mlango wa kutokea ni mkubwa zaidi. Hii ni baada ya kocha- Antonio Conte na Mkurugenzi wa Inter -Beppe Marotta kutoa tamko kuhusu hilo.

Christian Eriksen alijiunga na Inter Millan mwezi januari akitokea Tottenham ambako alikuwa na wakati mzuri kabla ya maisha kumuwia magumu kidogo baada ya Jose Mourinho kukabidhiwa mikoba ya Mauricio Pochettino.

Kupitia DAZN, Marotta amesikika akisema ” Jana, Conte aliwajibu vizuri zaidi. (hii ni baada ya Conte kuulizwa kuhusu hatma ya Eriksen ndani ya kikosi cha Inter)

“Ninaongezea kwa uwazi kabisa, hatutamzuia mchezaji ambaye ameomba kuondoka. Tutahitaji kufanya tathimini kwa usahihi.

Conte anamtumia Eriksen kwa heshima ya mchezaji na klabu. Hakuna ofa iliyotufikia mpaka sasa. Tutafanya maamuzi sahihi katika muda sahihi.”

Marotta hajasema kama Eriksen amesababisha matatizo yeyote au kama ameomba kuondoka. Japokuwa, anajaribu kusema kuachana na mchezaji huyo itakuwa ni uamuzi sahihi zaidi.

Eriksen hajaonesha ubora wake ndani ya Serie A na kwa kiasi kikubwa anaonekana kama ni mchezaji wa ziada kwa Antonio Conte. Mchezo dhidi ya Torino wikiendi hii, Eriksen alijikuta akisugua benchi licha ya kufanya vizuri akiwa na timu ya taifa ya Denmark.


USICHELEWE KUKAMATA MKWANJA HUU!

Hadi 130,000,000 Tsh kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

28 Komentara

    Duh ilo ni tatizo

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    unaweza kukuta mchezaji anapoenda timu fulani anakuwa hapati muda wa kupewa nafasi ya kuingia uwanajani

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridianbet

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Bora arudi zake spurs natumai mourihno atamfaa

    Jibu

    Bora arud nyumbani tu kumenoga spurs

    Jibu

    Kuhamahama sio poa

    Jibu

    Hii ni changamoto kubwa sana kwa wachezaji mana anajikuta anataka kufanya jambo kubwa ili awe bora lakini hapati nafasi ya kucheza uwanjani hivyo anakata tamaa mwishiwe anaomba kuondoka na kujenga ugovi baina ya kocha na wishoe hupotea zaidi hivyo ni nafikiri wangeweka utaratibu mzuri kila mchezaji angepata kucheza angalau hata kwa dk 15

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Asant kwa taarifa meridian bett

    Jibu

    Vizuri pengine Yeye pale alivyo toka Ndio kwenda kupata nafasi Nzuri yakukionesha kipaji zaidi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Safi sana aende tuu

    Jibu

    vzr

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Safar njema aendako

    Jibu

    Return om Erickson in spurs

    Jibu

    Duuh sio powa

    Jibu

    Safari njema

    Jibu

    Inter imemkosa mtu muhimu sana

    Jibu

    Aende Spurs bado wanamuhitaji.

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Dar sio poa

    Jibu

    Aende tu

    Jibu

Acha ujumbe