Locatelli: Sijutii Kutojiunga Arsenal

Kiungo huyo wa kimataifa wa Italia amefanya mazungumzo na kituo kimoja nchini Italia na kuweka wazi suala hilo ikumbukwe kiungo huyo alifuatiliwa kwa karibu sana na klabu ya Arsenal miaka miwili nyuma na dili lilikaribia kukamilika, Lakini haikufanikiwa na kiungo huyo kujiunga na klabu ya Juventus ya nchini kwao Italia.
Makala iliyopita
YANGA WANAONGOZA KWA MAMILIONI GOLI LA MAMAMakala ijayo
Ten Hag Haeleweki na Man United Yake