Maurizio Sarri Ameondoka Lazio kwa Makubaliano ya Pande Zote Mbili.

Lazio wamemwaga salamu za kuagana na kocha Maurizio Sarri kupitia video iliyoonyesha matukio yake akiwa pembeni ya uwanja, huku akitarajiwa kuchukua jukumu jipya na Atalanta.

Maurizio Sarri Ameondoka Lazio kwa Makubaliano ya Pande Zote Mbili.

Hii ilikuwa awamu yake ya pili akiwa kwenye benchi la Stadio Olimpico, baada ya kipindi cha kwanza kuanzia 2021 hadi Machi 2024, ambapo aliondoka kutokana na masuala ya kifamilia.

Alirejea majira ya kiangazi yaliyopita na akaendelea kubaki klabuni, licha ya kukiri kuwa alikaribia kuondoka baada ya kugundua kuwa klabu ilikuwa chini ya zuio la usajili kutokana na masharti ya Financial Fair Play.

Alirejea majira ya kiangazi yaliyopita na akaendelea kubaki klabuni, licha ya kukiri kuwa alikaribia kuondoka baada ya kugundua kuwa klabu ilikuwa chini ya zuio la usajili kutokana na masharti ya Financial Fair Play.

Maurizio Sarri Ameondoka Lazio kwa Makubaliano ya Pande Zote Mbili.

Tayari inafahamika kwamba Maurizio Sarri amekubaliana mkataba mpya wa kuinoa Atalanta. Sarri atajiunga huko na Cristiano Giuntoli, ambaye anachukua nafasi ya Tony D’Amico kama mkurugenzi wa michezo.

Kwa upande wa Lazio, tayari wamefikia makubaliano na kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Italia, Gennaro Gattuso.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.