Mkurugenzi wa klabu ya Fiorentina inayoshiriki ligi kuu ya Italia maarufu kama Serie A ameeleza hawana mpango wa kumuuza kiungo wa kimataifa wa Morocco Sofyan Amrabat aliyepo klabuni hapo. Kiungo …
Makala nyingine
Kocha wa Juventus Massimiliano Allegri na mkurugenzi wa michezo Federico Cherubini watalazimika kusalia klabuni hapo baada ya awali kuwa na nia ya kujiuzulu kufuatia bodi nzima ya wakurugenzi kujiuzulu nyadhifa …
Gwiji wa zamani wa klabu ya Juventus Allesandro Del Piero ameonekana yupo tayari kuisaidia klabu hiyo ambayo inatafuta mrithi wa aliekua rais wa klabu hiyo Andrea Agnelli ambaye amejiuzulu nafasi …
Bodi nzima ya wakurugenzi wa Juventus wamejiuzulu nyadhifa zao kwa kushangaza, akiwemo rais Andrea Agnelli na makamu wa rais Pavel Nedved. Uamuzi wa pamoja umetolewa na bodi ya …
Imethibitishwa kuwa Mwenyekiti wa klabu ya Juventus inayoongozwa na kocha mkuu Massimiliano Allegri, Andrea Agnelli na bodi nzima ya klabu hiyo wamejiuzulu ghafla. Juventus itapata mabadiliko makubwa katika usimamizi …
Kiungo wa timu ya taifa ya Morocco na klabu ya Fiorentina Sofyan Amrabat avitoa udenda vilabu mbalimbali barani ulaya kutokana na uwezo wake ambao ameuonesja kwenye kombe la dunia. Kiungo …
Kiungo wa timu ya taifa ya Ufaransa Andrien Rabiot amezungumza kuhusu hatma yake ndani ya klabu ya Juventus ambaye anaitumikia mchezaji huyo kwasasa. Kiungo huyo ambaye kwasasa anaitumikia timu ya …
Klabu ya Lazio inayoshiriki ligi kuu nchini Italia maarugu kama Serie A kupitia rais wake Claudio Lotito amesisitiza kiungo wa klabu hiyo raia wa Serbia Sergej Milinkovic Savic hauzwi kwenda …
Kiungo wa klabu ya Juventus raia wa Ufaransa Andrien Rabiot amefunguka juu ya dili lake na klabu ya Manchester United Kuvunjika katika dirisha lililopita majira ya joto. Wakati dirisha kubwa …
Klabu ya soka ya Napoli inayoshiriki ligi kuu nchini Italia inafiikiria kumuongeza mkataba kocha wake wa sasa Luciano Spaletti kutokana na namna ambayo anaiongoza klabu hiyo. Spaletti amefanikiwa kuitengeneza klabu …
Mkurugenzi wa ufundi wa AC Milan, Paolo Maldini bado ana imani kuwa timu yake inaweza kushinda taji la Serie A baada ya kuwa na mwendelezo mzuri wa matokeo kwenye Ligi …
Kocha mkuu wa AS Roma Jose Mourinho anasema alikuwa “mnyenyekevu vya kutosha kuomba msamaha” kwa mwamuzi Antonio Rapuano baada ya kukubali kuwa alistahili kadi nyekundu hapo jana katika mchezo wa …
Klabu ya Inter Milan imefanikiwa kupata alama tatu muhimu ikiwa ugenini katika dimba la Gewiss dhidi ya Atalanta baada ya kuifunga klabu hiyo kwa jumla ya mabao matatu kwa mawili …
Mchezaji wa Juventus Adrien Rabiot amekuwa mtu muhimu kwa Juventus msimu huu lakini madai yake ya juu ya mkataba yanaweza kusababisha kuondoka kwake msimu ujao wa joto. Kiungo huyo …
Kiungo wa klabu ya Napoli na timu ya taifa ya Cameroon Franck Zambo Anguissa amefanikiwa kuongeza mkataba na klabu hiyo inayoshiriki ligi kuu nchini Italia maarufu kama Serie A baada …
Kulingana na gazeti la La Repubblica, Kocha wa AS Roma José Mourinho anataka kumsajili Wilfried Zaha huko Roma kama mchezaji huru, lakini Real Madrid inaweza kumjaribu kocha huyo wa Ureno …
Klabu ya Juventus yazidi kung’ara huko Serie A baada ya kuendelea kuonyesha kiwango kizuri na kuwafanya wakae nafasi ya 4 kwenye msimamo Serie A baada ya kuwatandika Hellas Verona kwa …
Klabu ya AC Milan imemuongezea mkataba mchezaji wao Pierre Kalulu aendelee kusalia klabuni hapo hadi 2027 baada ya beki huyo kusaini mkataba wa nyongeza wa miaka miwili wa mkataba wake …
Klabu ya Juventus ambayo ipo chini ya Massimiliano Allegri watakuwa ugenini kukipiga dhidi ya Hellas Verona ambao wapo nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa Serie A baada ya kucheza michezo …
Klabu ya Inter Milan imefanikiwa kupata ushindi wa kishindo baada ya kuifunga klabu ya Bologna kwa jumla ya mabao sita kwa moja wakiwa katika dimba lao la nymbani. Hii imekuja …