Unaambiwaje, Wikiendi hii boli litatembea kwenye viwanja tofauti barani ulaya, ni Ligi ya Epl, La Liga, Serie A, Ligue 1 na Bundesliga pamoja na ligi nyingine za mataifa ya Ulaya. …
Makala nyingine
Kocha wa klabu ya Ac Milan Stefano Pioli ameitaka klabu yake kuhakikisha inapungaza pengo la alama dhidi ya vinara wa ligi kuu ya Serie A klabu ya Napoli. Klabu ya …
Gazeti la La Repubblica limeripoti kuwa Juventus iko hatarini kutozwa faini kutoka €20m hadi €60m baada ya kudaiwa kurekebisha mshahara wa Cristiano Ronaldo kwa makubaliano ambayo hayajawekwa wazi mwaka 2020. …
Rais wa Inter Steven Zhang amesisitiza kujitolea kwa Suning kwa klabu ni kwa muda mrefu huku Nerazzurri wakithibitisha mapato yao yakiongezeka kwa takriban €75m mnamo 2021-22. Mkutano wa wanahisa …
Kocha wa Arsenal Mikel Arteta amesema kuwa beki wake Pablo Mari anaendelea vizuri na hajaumia sana baada ya kuchomwa kisu huko Milan, huku mchezaji huyo kwasasa akiwa anaitumikia Monza kwa …
Beki wa zamani wa Inter, Marco Materazzi ameishukuru Milan kwa kumruhusu Hakan Calhanoglu kuondoka na kujiunga na wapinzani wao wakuu ndani ya Serie A. Kiungo huyo wa kati wa …
Mchezo mkali kati ya klabu ya As Roma ambao watakua nyumbani Estadio de Olimpico kuwakaribisha Napoli utapigwa usiku wa leo katika ligi kuu nchini Italia maarufu kama Serie A.Mchezo unatarajiwa …
Mshambuliaji wa Intermilan Lautaro Martinez amezipa kisogo tetesi zinazosema kuwa yeye atakwenda Bayern Munich ya Ujerumani au Psg ya Ufransa, huku akisema kuwa matumaini yake ni kuja kuwa Gwiji katika …
Manchester City wanaripotiwa kutaka kumsajili winga wa Napoli Khvicha Kvaratskhelia. Kvaratskhelia, ambaye hajulikani aliko kabla ya msimu huu, amevutia vilabu kadhaa maarufu barani Ulaya baada ya kung’ara katika miezi mitatu …
Meridianbet wamekuja na mzigo mkubwa kwaajili yako wewe mtu wangu wa nguvu, ambaye umekuwa ukiteseka na kuchana mikeka yako kila kukicha. Huenda ulikuwa unafahamau hili au huenda ulikuwa hujui kuhusu …
Jurgen Klopp hatakabiliwa na uchunguzi wa Chama cha Soka kuhusu maoni ambayo baadhi ya Manchester City wameyataja kwa faragha ‘chuki dhidi ya wageni’. Atakabiliwa na adhabu kutoka FA baada ya …
Reece James alikiri kuwa ameambiwa na daktari wa upasuaji anaweza kuwa nje kwa miezi miwili kutokana na jeraha la goti alilopata dhidi ya AC Milan mapema mwezi Oktoba. James alikuwa …
Antonio Conte anapoahirisha mazungumzo ya kuongeza mkataba wake, huwa anafanya hivyo kwa sababu ameamua kuondoka. Ilitokea Juventus, ikatokea Inter Milan na sasa inafanyika Tottenham Hotspur. Dalili za kutengana na Spurs …
Meridianbet: Usiku wa deni hakawii kukucha, yes ukisema hivyo utakuwa hujakosea kabisa ni usiku wa deni kwenye Ligi ya Mabingwa wiki hii, ni mechi za marudiano kutafuta kufuzu hatua ya …
Erling Haaland ameiteka Ligi Kuu ya England kwa dhoruba ya magoli yake. Raia huyo wa Norway ametikisa nyavu mara 14 katika mechi nane pekee, lakini alizidi kugonga vichwa vya habari …
Lionel Messi atarejea Barcelona majira ya joto mwaka 2023, baada ya kufanya ‘amani’ na rais wa klabu hiyo kufuatia kuhama kwake miaka miwili iliyopita. Mshindi huyo mara saba wa Ballon …
Mathias Pogba ambaye ni ndugu yake na kiungo wa kamataifa wa Ufaransa na mchezaji wa klabu ya Juventus Paul Pogba amekana kuwa sehemu ya watu wanaomhujumu ndugu yake leo. Mwanasheria …
Nyota wa kimataifa wa Ufaransa anayeichezea klabu ya Juventus Paul Pogba leo kupitia mitandao yake ya kijamii amaechapisha video ya kuthibitisha kufanyiwa upasuaji na baada ya kusumbuliwa na jeraha la …
Mshambuliaji wa klabu ya Inter Milan Romelu Lukaku yuko shakani kukosa mechi ya watani wa jadi wikiendi ijayo kwenye dabi ya Della Madonnina kutokana na majeruhi. Romelu Lukaku ameondolewa kwenye …
Klabu ya Tottenham Hotspur imethibitisha kufanikisha usajiri wa mchezaji kutoka klabu ya Udinese ya Italia Destiny Udogie kwa ada yauhamisho wa kiasi cha €18milioni huku kukiwa na kipengere cha pesa …