Klabu ya Manchester United imeingia kwenye vita na klabu ya Newcastle United kwa ajiri ya kuwania huduma ya kiungo wa kimataifa wa Ufaransa ambaye anaichezea klabu ya Juventus Adrien Rabiot. …
Makala nyingine
Mchezaji nyota wa klabu ya Juventus Paul Pogba ambaye alipaswa kufayiwa upasuaji siku ya leo jijini Lyon nchini Ufaransa umeahirishwa mpaka siku ya kesho kwa sababu ya kupata uthibitisho ikiwa …
Nyota wa klabu ya Juventus na mchezaji wa kimataifa Paul Pogba anweza kukosa michezo yote ya kombe la dunia nchini Qatar kutoka na kupata majeraha ya goti ambayo anapaswa kufanyiwa …
Paul Pogba hatosafiri kwenda nchini Marekani kwaajili ya mchezo wa kirafiki wa Juventus dhidi ya Barcelona siku ya Jumanne huko Las Vegas sababu ya kukabliwa na jeraha la paja. Mchezaji …
Klabu ya Napoli inayoshiriki ligi kuu ya Italia Serie A imepinga taarifa zilizosambazwa na vyombo vya habari nchini humo kuwa klabu hiyo imeuzwa. Vituo kadhaa vya runinga nchini humo vikiongozwa …
Mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Argentina Amejiunga rasmi na klabu ya Roma kwa uhamisho huru na kusaini kandarasi ya miaka mitatu huku kukiwa na kipengere cha thamani ya €20milion kwa …
Nyota wa klabu ya AC Milan Zlatan Ibrahimovic ameongeza mkataba wa mwaka mmoja wa kubakia kwenye viunga vya San Sirro hadi mwaka 2023. Zlatan Ibrahimovic ambaye anatimiza miaka 41 mwezi …
Paulo Dybala amesaini kusaini mkataba wa miaka mitatu na klabu ya Roma baada ya mkataba wa mchezaji huyo na Juventus kufika tamati. Roma wamezibwaga klabu za Inter na Napoli kuinasa …
Klabu ya Inter Milan kwa sasa hawana nia ya kuendelea na mchezaji wa kimataifa wa Chile na wanampango wa kutaka kumuondoa kwenye klabu hiyo ili kuweza kupunguza gharama za mshahara …
Je wajua kuwa klabu ya Barcelona ilishawai kukubaliama na wachezaji Luiz diaz na Vlahovic kabla ya wachezaji hao kuamua kutimkia kwenye vilabu vingine? kulingana na Gerrard Romero, klabu ya Barcelona …
Klabu ya Chelsea ipo karibu kumsajili beki wa kati Kalidou Koulibaly kutoka Napoli kwa kitita cha pauni milioni 33.7 ambapo kwa sasa wanajaribu kujenga safu ya ulinzi kufuatia kuondoka kwa …
Inter Milan na Arturo Vidal wamefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na klabu ya hiyo mchezaji huyo wa Chile anakaribia kujiunga na klabu ya Flamengo. Kwa mujibu wa taarifa ni kwamba …
Mabingwa wa nchini Italia Serie A wamekamilisha usajiri wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji Divock Origi kutoka klabu ya Liverpool kwa uhamisho huru. Divock Origi ameondoka nchini Uingereza baada ya …
Klabu ya Barcelona imetanganza kukamilika kwa usajili wa kiungo wa Ivory Coast, Franck Kessie na beki wa Denmark Andreas Christensen kwa uhamisho wa bure. Christensen amejiunga na Barca akitokea Chelsea …
Mshambuliaji wa Manchester United Christiano Ronaldo alitikisa vichwa habari siku ya Jumamosi baada ya kuripotiwa kuomba kuondoka Old Trafford kwa madai ya kwamba anataka kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa …
Klabu ya Inter Milan imekamilisha usajiri wa mchezaji wa kimataifa wa Armenia Henrikh Mkhitaryan kutoka klabu ya AS Roma ambapo kiasi kilichotumika kwenye usajiri huo hakijawekwa wazi. Henrikh Mkhitaryan amekuwa …
Nyota wa zamani wa klabu ya juventus Angelo Di Livio ameweka wazi kuwa klabu ya AS Roma inampango wa kumsajiri mshambuliaji wa klabu ya Manchester United klabla ya dirisha la …
Klabu ya Inter Milan imethibitisha kumalizana na klabu ya Chelsea kufanikisha uhamisho wa Romelu Lukaku kwa mkopo wa muda mrefu ambapo kiasi cha €8.5milioni kimetumika kukamilisha uhamisho huo. Romelu Lukaku …
Klabu ya AS Roma na Barcelona walipanga kucheza kwenye mashindano ya Joan Gamper mwaka huu kwenye kipindi cha pre season ambapo walipanga kucheza August 6 kwenye dimba la Camp Nuo …
Kiungo nyota aliyekuwa anakipiga kwenye klabu ya Manchester United amejiunga rasmi Paul Pogba amejiunga rasmi na klabu ya Juventus kwenye dirisha hili la usajiri kwa uhamisho huru baada ya kumaliza …