Pogba na Juve Wanatarajiwa Kukubaliana Kuvunja Mkataba

Makubaliano ya pamoja ya kusitisha mkataba wa Pogba yanaonekana kama chaguo bora na suluhisho kwa mchezaji na klabu yake ya Juventus.

Pogba na Juve Wanatarajiwa Kukubaliana Kuvunja Mkataba

Mazungumzo yataanza kesho baada ya uamuzi wa mwisho wa CAS kwani Paul atafanya mazoezi kuanzia Januari na kisha kucheza kuanzia Machi mwakani 2025.

Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.

Pogba anataka tu kucheza soka na kurejea kufanya kile anachopenda, akihisi mwanzo mpya utakuwa bora zaidi.

Pogba na Juve Wanatarajiwa Kukubaliana Kuvunja Mkataba

Paul ana mapenzi ya ajabu kwa Juventus, wachezaji wenzake, mashabiki… lakini sasa yuko tayari kwa mwanzo mpya kuanzia 2025.

Bila kusahau meridianbet ndio wakali wa ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya 1000 na kila kitu ukitakacho. Bashiri kijanja hapa.

Pogba sasa atasafiri kuifuata timu ya taifa ya Ufaransa, kukutana na Didier Deschamps akiwa na ndoto ya kurejea siku za usoni.

Acha ujumbe