Boss wa Liverpool Jurgen Klopp amekiri kuwa wapinzani wao katika ligi Machester city watakuwa na kitu cha kudhihirisha leo licha ya kuwa tayari Liverpool wamekwisha chukua ubingwa wa ligi hiyo.
Mchezo huo utakao wakutanisha wababe hao katika uwanja wa Edihad utakua ni katika michezo saba iliyosalia katika kukamilisha ligi kuu ya Uingereza.
Boss huyo wa Livepool alinukuliwa na Sky Sport alipoulizwa kama manchester city wangehitaji kupata matokeo mbele yao,”Ndio, ingelikua ni mimi ningetafuta njia yoyote kupata matokeo.
“Nadhani tukikuwa katika hali kama hii mwaka mmoja au miwili iliyopita tulipomfunga city goli 4-3 na walikuwa hawajafungwa mpaka muda huo.
“sidhani hata kwa sekunde moja milisema tutakua wa kwanza lakini tulihitaji kushinda mchezo ule,kuhakikisha hata kama wako alama 20 zaidi yetu bado tungewapa mchezo mzuri.
“Sihitaji mchezo wowote kuweza kujua city wanaweza kufanya hivyo.Najua hilo kabla, mchezo utakua mgumu kwa timu zote.Utakua mchezo mzuri..”
Katika michezo saba iliyopita waliyokutana katika mashindano yote Livepool ameshinda mara nne,Manchester city mara moja na kutoka sare mara mbili tangu january mwaka 2018.
Matokeo hayo yanaipa Liverpool nafasi kubwa ya ushindi,katika mara mbili city alizokua nyumbani amefanikiwa kushinda mchezo mmoja na kupoteza mmoja.
Hope mwaikuka
Ndan ya dk 90 tutapata majb
warda
Klopp anajiamini sana sasa hivi duuu ni hatari#Meridianbettz
Devotha
Mchezo huu utakua mgumu sana upande wa man city kwa sababu watakosekana wachaji wazuri kama Aguero ambae ni majeruhi
Magdalena
Mtanange huu utakuwa na ushindani wa hali ya juu Nina Imani Liverpool hawatokubali kupata aibu
Lydia Emmanuel Magoti
Mpila kiwanjani leondio leo mpaka dakika 90 kihereweke
Njiku
Mziki mwingine city hawezi poteza mchezo mara mbili mfululizo atakomaa na liverpool licha ya kuwa na majeruhi ya aguero pia fernandinho kwa adhabu ya kadi nyekundu aliyopewa katika mchezo wa Chelsea pia kucheza game hii kutokuwa na sane ambaye anaitaka kuoana klabu hiyo na kwenda kujiunga na miamba ya Ujerumani licha kuwa game ngumu kwa ubaadhi wa city ila bado jogoo wanaweza kutaga pale etihadi,game ngumu kwa upande wote lolote litatokea
Ester jackson
Bado mapema sana kujiandaa vilivyo ingawa kwa man city watakuwa wagumu kwa sababu tu ya kupoteza game yao ya nyumbani ingawa wana majeruhi Liverpool wanakibarua cha kuendelea kuwachakaza wapizani wao na ukizingatia ni fainal hivyo sio rahisi timu kukubali kushindwa kiuzembe.
Genia Sikaluzwe
Hapo dk90 ndiyo musema ukweli tutajuwa bigwa Nan?
Caroline
Dahhh sawaaaa
Flomena
Sihitaji mchezo wowote kuweza kujua city wanaweza kufanya hivyo.Najua hilo kabla, mchezo utakua mgumu kwa timu zote.Utakua mchezo mzuri
Dorophina
Tunasubilia tuone dakika 90
Frank Patrick
kauli inaashilia jambo hiyo …hatujali kuwa tumechukua kombe but tunahitaji kuendelea kuwa team ya viwango vya juu …YNWA
Gabriel
Klopp asiongee sana asubir dk 90
Povel
Gud news
Mariam mtandama
Habari mjema
Janeflora malisa
Nice
Sabrina
Maoni:klopp asiongee sana tunataka kuona mpira leo bingwa bingwa tu liverpool wanatakiwa kujenga heshima dhidi ya ubingwa wao.
Furahav
Tunasubili tuone nani atakuwa mshindi.
Saupha mohamed
Tunasubili matokeo
Shafii
Dk 90 ndizo zitakazo amua nani atatoka kichwa chini au kifua mbele
Amiri Kayera
Kocha mwenyew kaon km game itakua taf sanaa
Omary lukumbi
Mpira dakika 90 lolote linaweza tokea klopp asianze maneno.ya shombo kabisa city sio timu ndogo kama ilivyo aston villa labda Newcastle na timu zingine anaweza akatiwa aibu na pep vile vile
Mwanaidi
Tunasubiri tuone
Evaluziga
Ndani ya dakika 90 tutapata majibu
David Pere
Man City watataka kuwatibulia sherehe zao za ubingwa kamwe hawatalegeza kabisa
Salma
Tunasubili tuone jeshi atakuwa nan?
mwakalosi
kweli wamedhihirisha kwa klopp
Johnmary joel
Klopp anajiamini ndiyo maana hata timu yake inazidi kungaraa#meridianbett
Johnmary joel
Hapo ni 3plus #meridianbett
Hamidu
Man City anashinda kwa 3+
felister
hii game imenipita
lombo
n kwel kama ubingwa washachukua
Theckla
Majibu yamepatikana
Zeiyana
Ni kweli ubingwa walichukua Liverpool lakini hisiwe vitisho kwa kila timu pizani wanayokutana nayo mpira uchezwe tu tutaona matokea
Issa
Kweli wamedhihirisha hilo city
Samiah
Tunasubiri tuone
farida ahmadi
Ngoja tujionee wenyewe