Mchezaji nyota wa Manchester United – Paul Pogba anaendelea kuwa gumza kunako ulimwengu wa soka. Kocha wake wa timu ya Taifa ya Ufaransa amesema ya moyoni.
Didier Deschamps amenukuliwa akisema Pogba “hawezi kuwa na furaha” kwa hali yake ndani ya Manchester United. Wakati huu ambao Paul amehusika kwenye michezo 11 ya Man United akicheza michezo 5 pekee mpaka sasa.
“[Pogba] yupo kwenye hali ambayo hawezi kuwa na furaha ndani ya klabu yake, sio kwa muda anaopewa kucheza au nafasi anayopewa uwanjani.
“Hayupo katika ubora wake. Alikuwa na majeruhi lakini pia aliugua COVID19 ambayo ilimsumbua sana, anahitaji muda kurudisha ubora wake.
“Kwa upande wangu hakuna tatizo kama hilo. Mchezaji akiwa hanafuraha kwenye klabu yake, atakuwa na furaha kuitumikia timu ya Taifa ya Ufaransa.
“Atanieleza anavyojisikia na kama ninavyomfahamu vizuri, itakuwa na matokeo chanya.” Alisema Deschamps.
Ufaransa watakuwa uwanjani kucheza michezo mitatu dhidi ya Finland, Portugal na Sweden.
Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!
warda
Duuu Kumbe nae Corona imesha mkuta daa ndo mana anacheza chini ya kiwango kama Chama
Sauda
Corona hatari sana
zeiyana
Deschamps yupo sahii ni kweli pogda hamepoteza muelekeo wake ule wa zamani
magdalena
kakaa nje ya uwanja kwa kipindi kirefu sana ata muelekeo wake kimpira umeanza kupotea
Carolyn
Pogba inabidi ukubaliane na Kila hali
Adelta
Pogba kilichopo angalia kazi na maslai ili utimize ndoto yako
Salma ngende
Maslah kwanza
Tatu
Pogba uwezo wake umepungua
Ester jackson
Pogba rudi kaka kwenye hali kama ya zamani kupitia kwenye changamoto ni mojawapo ya mitihani inabidi uweimara kurudisha imani kwa mashabiki zako na kocha wako
Dorophina
Pogba saiz kiwango chake kimeshuka ndiomaana wanampunguza kwenye baadhi ya mechi
Shani
Pogba kiwango kimeisha
Angelina
Pogba mi namkubali
Povel
Pogba anataka kusepa ndani ya united ni kwl Hana furaha ndani ya kikos cha united
Fatuma kasomo
Asante kwa taarifa meridianbet
Nasra
Asantee kwa taarifa
Hopemwaikuka
Maajab yamemuishia aende atakapokua na furaha
Issa
Pogba akili yake yote ipo madrid tu
aisha
Pogba sijui anawaza nini
Saupha mohamed
Pogba pigs mpira man u chama kubwaa
Sabrina
Pogba kasha choka man u
Fatina mfigi
Kapachok na ndoman maajab Ana na furah pia anakosa!
Mwajumah
Pogba kiwango kimeshuka kwa sasa
Elika
Pogba alikuwa zamani,kwa sasa hana jipya