Ukimtazama kwa umakini, Ole Gunnar Solskjaer anavinasaba vya Sir Alex Ferguson katika kufanya mahojiano na waandishi wa habari.
Katika mikutano yake na waandishi wa habari, Solskjaer ni kocha ambaye amekuwa akionesha tabasamu muda wote huku akijibu maswali ambayo kwa kiasi kikubwa anaonekana kama aliyajua yapo kwenye orodha za waandishi wa habari.
Leo katika mkutano wake na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa Manchester United dhidi ya Westham United. Solskjaer ameweka wazi maumivu na huzuni waliyoipata kwa kupoteza mchezo wa nusu fainali ya Kombe la FA dhidi ya Chelsea.
Lakini pia amezungumzia kwa ufupi maneno yanayozungumzwa dhidi ya David De Gea na hatima yake ndani ya kikosi cha Manchester United.
Solskjaer amesema ” Unapopoteza mchezo unaumia na kuhuzunika lakini unapaswa kuangalia yanayofuata. Kufungwa sio mwisho wa dunia, na sasa ni kazi kama kawaida tukiangalia zaidi mchezo unaofuata. Tumepitia changamoto nyingi kama klabu, tumepoteza michezo muhimu lakini tuliweza kuinuka. Hivyo ndivyo tunavyotakiwa kufanya hivi sasa”
Akiongelea umuhimu ya kushiki Michuano ya Ulaya – UEFA. Ole Gunnar Solskjaer amesema ” Unahitaji kushiriki michuano mikubwa kila mara, hilo linavutia lakini Manchester United inavutia zaidi. Kila mtu anaona tupo kwenye uelekeo mzuri, binafsi ninaona hivyo”
Akizungumzia kwa ufupi sana sakata la David De Gea, Ole Gunnar Solskjaer amewaambia waandishi ” David anauelewa mkubwa wa kutambua kazi yake ni kujiandaa kikamilifu kwenye mazoezi na kufanya vizuri kwenye mechi inayofuata. Kazi yangu ni kuiandaa timu kwa ajili ya mechi dhidi ya Westham United. Kazi yenu waandishi ni kuongelea na kuandika kuhusu mambo haya, hatujaja hapa kumuongelea mtu mmoja na lengo letu sio kuwaweka watu katika wakati mgumu”
Manchester United watakuwa uwanjani jumatano hii kumenyana na Westham United katika uwanja wa Old Trafford, pointi 3 zitaisaidia Manchester United katika kutimiza lengo lao la kushiriki michuano ya UEFA msimu ujao.
Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.
Furahav
Mpira hauna mwenyewe.
Antony Luseno
Ole lazima awe na vina saba vya sir furgie maana hajakulia mikononi mwa kocha mwingine
Samiah
Duuh
Hope mwaikuka
Axante kwa taarifa hii
Shafii
Makala bomba Sana.
Fatuma kasomo
Mmh
sabrina
Asante kwa taarifa
Theckla
Asante kwa makala
Issa
Ole kaza uefa champion inanukia baba
Amiri Kayera
Saf kabx
Ernest
Wachezaji wa Man U wanatakiwa kupambana vya kutosha ili kulinda heshima ya Solskjaer
Janeflora malisa
Nic
Neema juma
Taarifa imeeleweka hiyo
Povel tz
Gud information 👍
lombo
Asante meridianbet kwa habar moto moto
Gabriel
Kwa unaofuatilia mpira tunamtambua kuwa kocha wa Manchester United ole gunner solskjaer now ameshaanza kuingiwa na Iman ya uoga sana kwan matarajio yake ambayo alihisi kuwa yuko vzur yamezimwa ghafla na Chelsea pale old Trafford ni uwanja wa kukaja dah sorry kwa kuchanganya lugha n uwanja wa nyumban hivyo bas inahitaji ajipange vzur
Saupha mohamed
Habari nzuri sana
Christopher
Pole yao united ndio Moira huo
tumaini
Maoni: asante kwa makala nzuri
neema hassan
Makala bomba
Njiku
Ole gunnar anatakiwa atengeneze timu ili iwe ya ushindani kwa timu kubwa
Franky
Nice
Aziza mushi
Asanteni kwa makala.
Omary lukumbi
Ole n muelewa sana na mungu atamjalia na kufanikisha hilo
Rehema
Duuh!
Frank Patrick
Upendo wa Aston villa kwa man u ni wa kiwango cha rami leo
Khadija
duuh#meridianbettz
Ester jackson
Yan kocha Solskjaer anaoneka kuvujika moyo ila hawezi kuwaonyesha wachezaji wake wala mashabiki anatakiwa kupambana vilivyo .katika mchezo ambao Manchester united watacheza na west ham wakipoteza tena itakuwa wanazidi kumjengea uzio Chelsea .
Angelina
Makala nzuri
Mwanahamisi
Makala iko bomba
Magdalena
Makala nzuri
Zeiyana
Lazima hiume kukosa kitu hambacho hulikua na matarajio nacho kocha kama kocha hawezi kuonesha maumivu yake mbele ya wachezaji kinacho takiwa kujipanga na mchezo zidi ya west ham ili kutimiza point 3 zitakazo saidia kutimiza lengo lao la kushiriki michuano ya UEFA msimu ujao
Johnmary joel
Wakazane sana man ili waweze kusonga mbele#meridianbett
caroline
kajibu maswali vizuri sana
Mariam mtandama
Makala mazur
Tatu
Good news
felister
imeisha hiyo
Dorophina
Ole yupo vizuri na muelewa cha msingi akaze buti man u iwe ya kiwango kile cha zamani
aisha
Kweli mpira hauna mwenyewe
Zuhura omary kindamba
Asante kwa taarifa Meridianbet
Saupha mohamed
Good news
devotha
asante kwa taarifa
Sadick
Ole amekomaa kiuongozi#meridianbettz
Fatuma kasomo
Makala nzuri
farida ahmadi
Habari njema Sana kwetu mashabiki
Genia Sikaluzwe
Duuuuh hatari
mwakalosi
ole anajua kukela mechi ya ushindi katupa droo
mwajumah
Duuh#Meridianbettz