Kinda wa Chelsea Billy Gilmour mwenye miaka 17 anasema anataka kuwa mchezaji bora zaidi Duniani. Gilmour alijiunga na Chelsea akiwa na miaka 16 mwaka 2017 kwenye kikosi cha vijana wa …
Makala nyingine
Aliyekuwa kiungo wa Napoli, Jorginho anasema anaikumbuka sana timu yake ya zamani, anaikumbuka seria A na anatumaini siku moja atarudi Serie A akitaja kutua kwa Ronaldo Seria A imekuwa faida …
Ligi ya Mataifa UEFA inaanza kutimua vumbi leo hii na gemu ya kwanza ni kati ya Ufaransa na Ujerumani ambao ni Mabingwa wa Makombe ya Dunia yaliyopita. Kwenye gemu 29 …
Winga wa Man city Leroy Sane mwenye umri wa miaka 22 ameshauriwa kubadili tabia yake ili aweze kupata nafasi na kufanya vizuri. Sane alijiunga na Man City mwaka 2016 akitokea …
Raheem Sterling ambaye ni mchezaji kiungo cha mbele wa klabu ya Manchester City amejitoa kwenye kikosi cha Uingereza kwenye mechi dhidi ya Hispania na Uswis zitakazoanza karibuni! Sababu ni nini? …
Kwenye mahojiano ambayo staa wa zamani wa klabu ya Barcelona na timu ya taifa ya Brazil, Ronaldinho Gaucho ameyafanya na jarida la SPORTS la huko Hispania ameongelea mambo mengi kuhusu …
Kiungo wa Liverpool Jordan Henderson, mwenye miaka 28 ambaye alikuwa mmoja wa wachezaji muhimu kwenye Kombe la Dunia katika kikosi cha timu ya taifa ya Uingereza anasema kichapo walichokipata dhidi …
Staa wa soka kutoka Barcelona, ambaye ametemwa katika kinyang’anyiro cha mchezaji bora wa FIFA Lionel Messi amezitaja klabu anazoamini ndio kubwa zaidi duniani. Mesi amezitaja timu yake ya Barcelona na …
Bingwa mtetezi kwenye michuano ya tenisi ya US Open Rafael Nadal, ameendelea kukonga nyoyo za mashabiki wake kwa ushindi dhidi ya Dominic Thiem. Mechi yao inadaiwa kuwa ndefu zaidi kwa …
Mchezaji wa Lazio mwenye uraia wa Brazili na Italia, Luiz Filipe anasema kuchezea klabu hiyo ni “Ndoto”. Philipe mwenye umri wa miaka 21 aliingia Lazio mwaka 2016 kisha akaondoka kwenda …
Msakata kabumbu mshambuliaji wa klabu ya soka ya Barcelona ambaye ana umri wa miaka 31 raia wa Argentina, Lionel Messi amesema kwamba yeye alishangazwa sana na maamuzi ya mshambuliaji mwenye …
Klabu ya soka ya Manchester United haijakubaliana kuhusiana na mkataba mpya wa kumzuia mchezaji mshambuliaji wake, Anthony Martial mwenye umri wa miaka 22 kwa sasa kusepa klabuni hapo iliyopo Old …
Mkurugenzi wa Barcelona bwana Ariedo Braida amewapiga mkwara Inter Millan kuwa wasitegemee mteremko wowote katika kundi lao kwenye Ligi ya mabingwa Ulaya. Inter Millan na Barcelona wamepangwa katika kundi moja …
Mourinho alitoka akitabasamu baada ya kupata ushindi wa bao 2-0 dhidi ya mwenyeji wake Burnley kwenye dimba la Turf Moor. Macho ya wadau wengi wa soka yalikuwa yakimtazama Mourinho kujua …
Modric na Ronaldo wamekutana tena katika kinyang’anyiro cha mchezaji bora wa FIFA. Ronaldo ambaye alikosa tuzo ya mchezaji bora UEFA ambayo ilienda kwa Modric, ameingia katika tatu bora na mpinzani …
Kesi iliyokuwa katika mezani ya FIFA kuhusu utaratibu uliotumika na Inter kumfukuzia Luka Modric inadaiwa kufungwa. Kwa mujibu wa chanzo cha habari za michezo cha kiitaliano Calciomercato madai hayo yamefungwa …
Straika wa Monaco Muitalia Pietro Pellegri amechomolewa rasmi katika kikosi cha timu ya taifa ya Italia katika mechi mbili zijazo. Pietro Pellegri alipata wito katika kikosi cha timu hiyo kwa …
Straika wa Uhispania, Diego Costa amejitoa katika kikosi cha taifa cha Hispania kinachoenda kucheza katika Ligi ya Mataifa -Uefa dhidi ya Croatia na Uingereza kwa sababu zake binafsi. Taarifa Kutoka …
Meneja wa Man United, Jose Mourinho ndio anayegonga vichwa vya habari za soka kwa sasa. Mourinho ambaye anadaiwa kuwa kikaangoni tokea alipopoteza gemu dhidi ya Briton, na kukosa bahati zaidi …
Kiungo wa Chelsea, Eden Hazard anasema anafurahia kupiga soka katika timu yake chini ya uongozi wa Maurizio Sarri. Hazard alijiunga na Chelsea Julai 2012 akiwa antokea LOSC lille, anamsifu sana …