Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti ameonesha bado ana matumaini kurejea kwenye ubora wao kwenye michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya pamoja na ligi kuu nchini Hispani La liga.
Klabu ya Real Madrid haijafanikiwa kuanza msimu vizuri kwenye michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya pamoja na ligi kuu nchini Hispania La liga, Hivo kocha Ancelotti ameeleza wana uwezo wa kurejea kwenye ubora wao na kuanza kufanya vizuri kwenye michuano hiyo ambayo wameonekana hawako vizuri.“Tutapigania mataji yote, hakika.”
“Tuna Kombe la Mabara mwezi Desemba. Tutakazana katika La Liga. Tutarejea vizuri kwenye Ligi ya Mabingwa.
Real Madrid ni wazi hawapo kwenye kiwango bora kwasasa ambacho mashabiki wa klabu hiyo wanakitambua lakini kocha Ancelotti ana matumaini kua watarejea kwenye ubora wao punde tu baada ya kumalizika kwa michuano ya klabu bingwa ya dunia ambayo watakwenda kucheza baada ya mapumziko ya michuano ya kimataifa.
This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Strictly Necessary Cookies
Strictly Necessary Cookie should be enabled at all times so that we can save your preferences for cookie settings.
If you disable this cookie, we will not be able to save your preferences. This means that every time you visit this website you will need to enable or disable cookies again.