Eder Militao Kuikosa Brazil

Mchezaji wa Real Madrid Éder Militão hataichezea Brazil mwezi huu kama Vinicious baada yakupata jeraha ambapo taarifa hiyo imetoka hii leo.

Eder Militao Kuikosa Brazil

Baada ya kufanyiwa vipimo vipya, mchezaji huyo amegundulika na jeraha dogo la misuli hivyo basi Militao hatacheza michezo ya Brazil ijayo ya kufuzu WC, huku nafasi yake ikichukuliwa na Fabricio Bruno.

Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.

Militao aliingia dakika ya 71 kwenye mchezo wa Jumamosi ambao walikuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya Villarreal na wakafanikiwa kushinda kwa bao 2-0 magoli yakifungwa na Vini pamoja na Valverde.

Eder Militao Kuikosa Brazil

Baada ya ushindi huo vijana wa Carlo waliendelea kusalia nafasi ya 2 kwenye msimamo wa ligi wakiwa na pointi zao 21 pointi 3 nyuma ya vinara wa ligi Barcelona.

Mechi inayofuata baada ya mapumziko ya mechi za kimataifa, Real Madrid  watakuwa ugenini kucheza dhidi ya Celta Vigo ambao wapo nafasi ya 9 hadi sasa.

Acha ujumbe