Frimpong Aikataa Barca
Makala iliyopita
Manchester United ipo Tayari Kumuuza Bissaka
Makala ijayo
Nuri Sahin Kocha Mpya Borussia Dortmund
Beki huyo amekua na msimu mzuri sana ndani ya klabu ya Bayern Leverkusen chini ya kocha Xabi Alonso na kufanikiwa kutwaa mataji mawili, Lkaini beki huyo akiwa moja ya wachezaji muhimu ndani ya kikosi cha Leverkusen jambo ambalo limemfanya kutolewa macho na vilabu vingi vikubwa barani ulaya.