Kocha wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Italia Carlo Ancelotti maarufu kama Don Carlo ameweka wazi kua klabu hiyo haina mpango wa kuingia sokoni katika dirisha dogo …
Makala nyingine
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Eduardo Camavinga amefanikiwa kuongeza mkataba wa kuendelea kusalia ndani ya klabu ya Real Madrid mpaka mwaka 2029. Eduardo …
Klabu ya Real Madrid imetoa taarifa rasmi kukanusha kufanya mazungumzo na mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa anayekipiga ndani ya klabu ya PSG Kylian Mbappe. Real Madrid wamesema wameelezwa kua wanafanya …
Mfululizo wa ushindi wa Atletico Madrid ulifikia mwisho wa kusikitisha walipopoteza 2-1 dhidi ya Las Palmas iliyopanda daraja. Kikosi hicho cha Diego Simeone kilikuwa kimeshinda mechi sita kwenye LaLiga …
Kocha wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez amebainisha kua hakuna matatizo ndani vyumba vya kubadilishia nguo ndani ya klabu hiyo kutokana na kauli aliyoitoa kiungo Gundogan. Kiungo Ilkay Gundogan jumamosi …
Beki wa kimataifa wa Ureno Goncalo Inacio ameingia kwenye rada za klabu ya Real Madrid huku ikielezwa klabu hiyo inataka kumsajili katika dirisha dogo la mwezi Januari. Goncalo Inacio mwenye …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid Aurelien Tchouameni anatarajia kukaa nje ya uwanja kwa takribani wiki sita mpaka nane kutokana na majeraha ambayo ameyapata katika mchezo wa jana dhidi ya …
Taarifa za ndani zinaeleza kiungo wa klabu ya Real Madrid Jude Bellingham anatajwa kama mshindi wa tuzo ya mchezaji bora kijana chini ya miaka 21(Golden Boy)inayotarajiwa kutolewa kesho. Kiungo Bellingham …
Kocha wa Italia Carlo Ancelotti alisambaa mitandaoni kwa muda mfupi wakati wa El Clasico jana, mara mbili akionyesha tabia yake ya utulivu kwenye mechi ya Real Madrid dhidi ya Barcelona. …
Ligi kuu ya Hispania maarufu kama LALIGA, imezidi kuwa ya moto zaidi baada ya upinzani kuongezeka ambapo kwasasa Girona ameingilia kati wale Mahasimu wawili wakubwa klabuni hapo baada ya kuwa …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Uingereza Jude Bellingham atakuepo kwenye mchezo wa ligi kuu ya Hispania dhidi ya klabu ya Barcelona siku ya Jumamosi. …
Kiungo wa zamani wa klabu ya Real Madrid Isco Alarcon anaendelea kuwasha moto ndani ya klabu yake ya sasa ya Real Betis inayoshiriki ligi kuu nchini Hispania. Isco amekua na …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amesema kiungo kinda wa klabu hiyo Arda Guler atarejea uwanjani hivi karibuni baada ya kutoka kwenye majeraha ambayo aliyapata. Kinda Arda Guler …
Kiungo wa kimataifa wa Ufaransa na kalabu ya Real Madrid Aurelien Tchouameni amesema kua unaweza kujua klabu hiyo ni kubwa, Lakini utakapokua ndani yake ndo utajua ukubwa halisi. Tchouameni ambaye …
Kiungo wa kimataifa Uingereza Jude Bellingham anayekipiga ndani ya klabu ya Real Madrid ya nchini Hispania ameweka wazi kua anatamani kukipiga ndani ya klabu hiyo kwa miaka 10-15 mbele. Kiungo …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Uruguay Federico Valverde anatarajiwa kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo muda mrefu zaidi. Federico anatarajiwa kuongeza mkataba mpya …
Kiungo kinda wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Uturuki Arda Guler ameonekana mazoezini klabuni hapo baada ya kupata majeraha wiki kadhaa zilizopita. Arda Guler inaelezwa kua atakua …
Kipa wa klabu ya Chelsea ambaye anakipiga klabu ya Real Madrid kwa mkopo Kepa Arrizabalaga amesema anatamani kuendelea kubaki ndani ya klabu hiyo ambapo anakipiga kwa mkopo. Golikipa huyo ambaye …
Mshambuliaji wa klabu ya Atletico Madrid na timu ya taifa ya Hispania Alvaro Morata amesema alikaribia kuondoka klabuni hapo katika dirisha kubwa la usajili lililopita. Morata anasema alipata ofa mbalimbali …
Nyota wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Hispania ambaye yupo kwa mkopo klabuni hapo akitokea klabu ya Espanyol Joselu amesema anatamani kusalia ndani ya klabu hiyo. …