Makala nyingine

Frimpong Aikataa Barca

Beki wa kulia wa klabu ya Bayern Leverkusen mabingwa wa ligi kuu ya Ujerumani Jeremie Frimpong amesema hajui kuhusu taarifa ambazo zinamuhusisha na kujiunga na miamba ya soka kutoka nchini …

Klabu ya Real Madrid imeweka wazi kua haina mpango wa kumtoa kwa mkopo kinda wake raia wa kimataifa wa Uturuki mwenye kipaji kikubwa Arda Guler licha ya maombi ya vilabu …

Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Rodrygo Goes ameweka wazi kua hana mpango wa kutimka ndani ya klabu hiyo licha ya kuhusishwa kuondoka ndani ya timu hiyo. Baada ya kushinda …

Kiungo mkubwa ndani ya kikosi cha Real Madrid Luca Modric raia wa kimataifa wa Croatia inaelezwa amefikia makubaliano ya kuendelea kuitumikia klabu hiyo kwa msimu mwingine wa 2024/25. Mwanzoni ilielezwa …

Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti ameweka wazi klabu ya Real Madrid haitasajili kupata mbadala wa kiungo wa kimataifa wa Ujerumani Toni Kroos ambaye anastaafu mwishoni mwa msimu …

Kocha wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez kwenye hali ya kushangaza amewashtua mashabiki wa klabu hiyo baada ya kutangazwa kua ataendelea kusalia ndani ya viunga vya klabu hiyo vya Camp …

Kwa mujibu wa gazeti la Mundo Deportivo, Xavi alibadili uamuzi wake na atasalia Barcelona msimu ujao, hivyo basi kuwaletea madhara Milan na Roberto De Zerbi. Kocha huyo alikuwa ametangaza mapema …

Kiungo kinda wa kimataifa wa Uturuki anayekipiga ndani ya klabu ya Real Madrid Arda Guler ameripotiwa kua hana mpango wowote wa kuondoka ndani ya miamba hiyo ya soka nchini Hispania. …

Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti amefunguka juu ya kurejea kwa beki wake wa katikati Eder Militao raia wa kimataifa wa Brazil ambaye alikua anaandamwa na majeraha kwa muda mrefu. …

Winga wa klabu ya Atletico Madrid anayekipiga kwa mkopo ndani ya klabu ya Fc Barcelona Joao Felix inaelezwa mipango yake ni kuendelea kuitumikia klabu hiyo kwa uhamisho wa kudumu. Rais …

Mchezaji wa klabu ya Atletico Madrid Joao Felix anayekipiga kwa mkopo klabu ya Barcelona ameonesha kutamani mchezaji mwenzake wa kimataifa wa Ureno Bernardo Silva kujiunga na Barcelona. Akifanya mazungumzo na …

Klabu ya Fc Barcelona inaelezwa inakaribia kuipindua klabu ya Liverpool katika kumuwania kocha wa klabu ya Sporting Lisbon ya Ureno Ruben Amorim ambaye anawaniwa na klabu ya Liverpool. Barcelona mwishoni …

Klabu ya Villarreal imefanikiwa kumpa mkataba mpya kiungo wake mkongwe Dani Parejo ambaye ataendelea kuwepo kwenye viunga vya Estadio de la ceramica mwaka 2026. Kiungo huyo ambaye ana miaka minne …

1 2 3 4 5 6 93 94 95
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.