Makala nyingine

Mshambuliaji wa klabu ya Atletico Madrid ya nchini Hispania Antoinne Griezmann ameweka wazi kua barani ulaya anataka klabu hiyo ndio iwe klabu yake ya mwisho kucheza. Griezmann ameeleza kua anataka …

Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Hispania Brahim Diaz anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa bega kutoka na majeraha aliyoyapata siku kadhaa zilizopita. Kiungo huyo anaongeza orodha …

Klabu ya Barcelona wako kwenye mchakato wa kumuongezea mkataba beki wake raia wa kimataifa wa Uruguay Ronald Araujo akiwa amepewa kipaumbele kikubwa zaidi. Beki Ronald Araujo amekua moja ya wachezaji …

Kiungo na nahodha wa klabu ya Atletico Madrid Koke yuko njia panda ndani ya klabu hiyo kuelekea mwishoni mwa msimu huu ambao ndio utakua ukomo wa mkataba wake. Kiungo huyo …

Klabu ya Barcelona imeweka wazi haitaingia sokoni katika diriaha dogo la mwezi Januari kwajili ya kuzipa pengo la kiungo wake Gavi ambaye amepata majeraha ya muda mrefu. Rais wa klabu …

Mshambuliaji wa klabu ya Atletico Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Antoine Griezmann inaelezwa hana mpango wa kutimka ndani ya klabu hiyo baada ya kuhusishwa na kujiunga na Man …

Winga wa klabu ya Real Madrid Vinicius Jr anatarajiwa kukaa nje ya uwanja kwa muda wa miezi miwili na nusu baada ya kupata majeraha akiitumikia timu yake ya taifa ya …

Klabu ya Real Madrid ipo mawindoni kwajili kumuwinda beki wa kushoto wa klabu ya Fc Bayern Munich Alphonso Davies raia wa kimataifa wa Canada kwajili ya kwenda kukipiga klabuni hapo. …

Villarreal Yapata Pigo

Klabu ya Villarreal imepata pigo kubwa baada ya winga wake raia wa kimataifa wa Hisapnia Yeremy Pino kupata majeraha makubwa yatakayomuweka nje ya uwanja kwa msimu mzima. Yeremy Pino atakua …

Camavinga Nje Ufaransa

Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Eduardo Camavinga ameondolewa kwenye kambi ya timu ya taifa ya nchi hiyo baada ya kuelezwa kupata majeraha ya …

Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil Rodrygo Goes amesema hawezi kwenda kucheza ligi kuu ya Saudia maarufu kama Saudi Pro League. Rodrygo amesema hajapokea …

1 2 3 4 5 6 7 8 93 94 95
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.