Sakata la Paul Pogba kuhusishwa na Real Madrid linaendelea kuwa tamu zaidi! Ipo wazi kuwa Pogba anatamani siku moja kuichezea klabu ya Real, na alinukuliwa akijihusisha na klabu hiyo siku …
Makala nyingine
Real Madrid wanaripotiwa kujiandaa kuweka kitita cha £125m kumuwinda staa wa Manchester United Paul Pogba ambaye hivi karibuni alionekana kuiweka wazi ndoto yaje ya kuchezea Real Madrid. Kwa mujibu wa …
Fundi wa soka kutoka Barcelona Lionel Messi amebamba nafasi 3 kwa pamoja kwenye goli bora zaidi katika historia ya Barcelona. Messi amechapa jumla ya magoli 591 kwenye gemu 673 alizocheza. …
Staa wa Barcelona, Gerarld Pique amewatambia wapinzani wao Espanyol wakijiandaa kukutana kwenye debi ya the Catalan Jumamosi hii. Staa huyu amesema kuwa yeye ana pesa nyingi mno kuzidi bajeti ya …
Mkongwe wa klabu ya Real Madrid ambaye aliacha historia kubwa kikosini hapo, Luis Figo anaonelea kwamba nyota wa muda mrefu na kiongozi wa wachezaji uwanjani na kikosini hapo, Sergio Ramos …
Kwa sasa Zidane ameanza kibarua chake kwa awamu nyingine tena kama kocha wa kikosi hicho cha matajiri wa Hispania. Hajataka kabisa kulaza mambo, ameanza vuguvugu la usajili mapema ili kurejesha …
Real Madrid wanafikiria kupata wachezaji watakaoleta chachu mpya ndani ya kikosi chao mbele ya kocha wao aliyepata nafasi ya kukinoa kikosi hicho kwa awamu ya pili, Varane kwa sasa anaangalia …
Baada ya Zinedine Zidane kurejea ndani ya viwanja vya Bernabeu zile habari za kumuwinda De Gea zimeanza kuchukua nafasi yake upya kwa mara nyingine tena. Hii inatokana na mapendeleo ya …
Inaonekana kabisa kwamba baada ya Zidane kuwasili Blancos hapo kuna mazungumzo ya mwanzo yamejadiliwa ili kuangalia kama mchezaji huyo ataweza kutua Bernabeu huku kocha huyo akiwa amekabidhiwa kikosi hicho akifanyie …
Griezmann hayupo tayari kuingia sokoni msimu huu kujiunga na klabu nyingine ya jiji alimo kwa sasa ila anaangalia zaidi kama atapata nafasi ya kutimka hapo na kujiunga na klabu nyingine …
Real Madrid wameanza vyema safari yao ya matumaini chini ya meneja Zinedine Zidane anayehudumu kwa kipindi cha pili baada ya aliyekuwa meneja wa klabu hiyo Santiago Solari kutimuliwa. Real wameanza …
Kitu nadra sana hiki, klabu yako inafungwa na unashangilia goli ambalo umefungwa na mpinzani wako! Huyu ndiyo Messi akikamilisha hattrick yake, wakati mwingine mafundi wanapaswa kupokea pongezi zo tu bila …
Mlinzi wa kushoto wa klabu ya Real Madrid anahusishwa na kujiunga na klabu ya Juventus kwa kipindi cha hivi karibuni baada ya kupoteza kabisa nafasi ya kuanza ndani ya kikosi …
Soka ni mchezo wa ajabu sana ambao siku zote huibua mambo ya aina mbalimbali. Kuna wakati mchezaji huhama kutoka klabu moja kwenda nyingine kwa lengo la kubadili angalau mazingira. Lakini …
Ni mwendo wa dozi! Frankie De Jong ambaye amejiunga na Barcelona kuanzia msimu ujao ameendeleza historia mbovu kwa Madrid kwa kuiondoa kabisa nje ya michuano ya klabu bingwa barani …
Madrid wamepoteza mechi yao ya pili mfululizo mbele ya Barcelona ambao wamekuwa kwenye msimu mzuri sana kwa sasa. Mechi hizo zote mbili wamezipoteza wakiwa nyumbani kwao ambapo mechi ya kwanza …
Hali imekuwa sio Hali wakati matumaini ya Real Madrid kutwaa taji la LaLiga msimu huu yakitoweka. Baadhi ya wadau wamekuwa wakilaumu kuwa Bale hafanyi kazi ile ambayo anatarajiwa kufanya klabuni …
Liverpool wanaripotiwa kuwa katika matazamio ya kuamua kumnasa mshambuliaji wa Celta Vigo Maxi Gomez huku nyota huyu akidaiwa kupigiwa upatu na Luis Suarez. Kwa mujibu wa The Sun, staa wa …
Real Madrid wameshindwa kulipa kisasi, badala yake wanaendelea kuwa wateja tu kwa Barcelona baada kukubali tena kichapo cha bao 1-0 kwenye dimba lao kutoka kwa Barcelona! El clasico iliyopita Real …
Katika siku ambazo wapenzi wengi wa soka hupenda kuziona ni pale miamba wa soka na wenye tambo nyingi juu ya mapato yao na uzuri wa vikosi vyao wanapokutana kwenye mchezo. …

