Makala nyingine

Sakata la Paul Pogba kuhusishwa na Real Madrid linaendelea kuwa tamu zaidi! Ipo wazi kuwa Pogba anatamani siku moja kuichezea klabu ya Real, na alinukuliwa akijihusisha na klabu hiyo siku …

Real Madrid wanaripotiwa kujiandaa kuweka kitita cha £125m kumuwinda staa wa Manchester United Paul Pogba ambaye hivi karibuni alionekana kuiweka wazi ndoto yaje ya kuchezea Real Madrid. Kwa mujibu wa …

Staa wa Barcelona, Gerarld Pique amewatambia wapinzani wao Espanyol wakijiandaa kukutana kwenye debi ya the Catalan Jumamosi hii. Staa huyu amesema kuwa yeye ana pesa nyingi mno kuzidi bajeti ya …

Kwa sasa Zidane ameanza kibarua chake kwa awamu nyingine tena kama kocha wa kikosi hicho cha matajiri wa Hispania. Hajataka kabisa kulaza mambo, ameanza vuguvugu la usajili mapema ili kurejesha …

Real Madrid wanafikiria kupata wachezaji watakaoleta chachu mpya ndani ya kikosi chao mbele ya kocha wao aliyepata nafasi ya kukinoa kikosi hicho kwa awamu ya pili, Varane kwa sasa anaangalia …

Madrid na De Gea

Baada ya Zinedine Zidane kurejea ndani ya viwanja vya Bernabeu zile habari za kumuwinda De Gea zimeanza kuchukua nafasi yake upya kwa mara nyingine tena. Hii inatokana na mapendeleo ya …

Hazard Huyooo…!

Inaonekana kabisa kwamba baada ya Zidane kuwasili Blancos hapo kuna mazungumzo ya mwanzo yamejadiliwa ili kuangalia kama mchezaji huyo ataweza kutua Bernabeu huku kocha huyo akiwa amekabidhiwa kikosi hicho akifanyie …

Griezmann hayupo tayari kuingia sokoni msimu huu kujiunga na klabu nyingine ya jiji alimo kwa sasa ila anaangalia zaidi kama atapata nafasi ya kutimka hapo na kujiunga na klabu nyingine …

Real Madrid wameanza vyema safari yao ya matumaini chini ya meneja Zinedine Zidane anayehudumu kwa kipindi cha pili baada ya aliyekuwa meneja wa klabu hiyo Santiago Solari kutimuliwa. Real wameanza …

Kitu nadra sana hiki, klabu yako inafungwa na unashangilia goli ambalo umefungwa na mpinzani wako! Huyu ndiyo Messi akikamilisha hattrick yake, wakati mwingine mafundi wanapaswa kupokea pongezi zo tu bila …

Mlinzi wa kushoto wa klabu ya Real Madrid anahusishwa na kujiunga na klabu ya Juventus kwa kipindi cha hivi karibuni baada ya kupoteza kabisa nafasi ya kuanza ndani ya kikosi …

Wapotevu wa Madrid…

Soka ni mchezo wa ajabu sana ambao siku zote huibua mambo ya aina mbalimbali. Kuna wakati mchezaji huhama kutoka klabu moja kwenda nyingine kwa lengo la kubadili angalau mazingira. Lakini …

  Ni mwendo wa dozi! Frankie De Jong ambaye amejiunga na Barcelona kuanzia msimu ujao ameendeleza historia mbovu kwa Madrid kwa kuiondoa kabisa nje ya michuano ya klabu bingwa barani …

Nje Ndani za Madrid

Madrid wamepoteza mechi yao ya pili mfululizo mbele ya Barcelona ambao wamekuwa kwenye msimu mzuri sana kwa sasa. Mechi hizo zote mbili wamezipoteza wakiwa nyumbani kwao ambapo mechi ya kwanza …

Hali imekuwa sio Hali wakati matumaini ya Real Madrid kutwaa taji la LaLiga msimu huu yakitoweka. Baadhi ya wadau wamekuwa wakilaumu kuwa Bale hafanyi kazi ile ambayo anatarajiwa kufanya klabuni …

Liverpool wanaripotiwa kuwa katika matazamio ya kuamua kumnasa mshambuliaji wa Celta Vigo Maxi Gomez huku nyota huyu akidaiwa kupigiwa upatu na Luis Suarez. Kwa mujibu wa The Sun, staa wa …

Real Madrid wameshindwa kulipa kisasi, badala yake wanaendelea kuwa wateja tu kwa Barcelona baada kukubali tena kichapo cha bao 1-0 kwenye dimba lao kutoka kwa Barcelona! El clasico iliyopita Real …

Utamu wa El Classico

Katika siku ambazo wapenzi wengi wa soka hupenda kuziona ni pale miamba wa soka na wenye tambo nyingi juu ya mapato yao na uzuri wa vikosi vyao wanapokutana kwenye mchezo. …

1 2 3 91 92 93 94 95
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.