Real Madrid Kuingia Januari Kutafuta Beki wa Kulia

Makala iliyopita
Ateba Atamba Kuifunga YangaMakala ijayo
Ederson: Vini Anastahili Kushinda Ballon Dor
Beki wa klabu ya Liverpool Trent Alexender Arnold ambaye hajasaini mkataba ndani ya klabu yake hiyo mpaka sasa anaelezwa yupo kwenye malengo ya muda mrefu ya mabingwa hao wa Ulaya, Huku ikielezwa ndio litakua chaguo lao wakiingia sokoni mwezi Januari kuhakikisha wananasa saini ya beki huyo.