Valencia wanavutiwa na kumsajili kipa wa Chelsea, Kepa Arrizabalaga ambaye hatma yake huko Stamford Bridge Iko matatani huku Chelsea ikiendeleza juhudi zao kujaribu kumsajili Mlinda lango wa Kimataifa wa Cameroon, Andre Onana kutoka AFC Ajax.
Kwa mujibu wa ripoti kutoka jarida la Marca huko Hispania ni kwamba Valencia wanataka kumsajili Mhispania huyo kwa mkopo wa miaka miwili na chaguo la ununuzi linaweza kujumuishwa. Kiwango cha Kepa kimekuwa cha kupanda na kushuka tangu alipotua kwa £71.6m huko Stamford Bridge kutoka Athletic Bilbao mnamo 2018.
Kipa wa Akiba wa Chelsea, Willy Caballero mwenye umri wa miaka 38, alipewa mechi baada ya Kepa kuwa na kiwango cha chini mnamo Februari. MuArgentina huyo alidaka katika michezo muhimu dhidi ya Leicester City, Manchester United, Tottenham na Bayern Munich – ingawa baadaye Kepa alirudishwa kwenye jukumu hilo hadi sasa..
Frank Patrick
Wataweza kutoa £45+ kwajili ya kipa hao valencia?
Omary lukumbi
Kepa sio goli kipa mbaya ila tuuh naona hayupo katika mipango ya frank lampard
Povel
Habar njema kwake na mashabik wake maana maisha ya darajan Kama yamefikah tamata vle thnks meridian bet tz kwa update
Edgar
watafanya vizuri kama watamsajiri kipa uyo maana daah
Amiri Kayera
Ifanye juhud kumpata kipa mzur sana
Latifa juma mohamed
Itakuwa njema Kama watamsajili golikipa huyo , kikubwa club inyooshe mkono sio sasa mkono uwe mfupi il wawez kumnasa kiuhakika zaidi.
Sabrina
Maoni:Chelsea wanatakiwa wafanye kweli katka kumsajiri huyo mlinda mlango atawafaa.
Njiku
Chelsea wanatakiwa kutafuta kipa wa mashindano maana kwa arrizabalaga hafai kwa Chelsea maana anafungwa Magoli ya kizembe sana,
Ernest
Sidhani kama Chelsea wanaweza kumuachia kwa kipindi hiki ukizingatia amekuwa imara sana golini
Issa
Kepa ni kipa mzuri sema chelsea impe muda zaidi kuliko kumwacha valencia wamchukue
Ester jackson
Kipa yuko vizuri Chelsea wasimuachie kabisa mana ameonyesha juhudi zake sana
Janeflora malisa
Nice
Tatu
Yupo vizuri
Shafii
Sidhani Kama Chelsea wanaweza kumuachia kepa kwa sasa
isha
Chelsea hawawezi kumuachia kwa kipindi hiki
Hope mwaikuka
Sijaelewa
Mwanahamisi
Watafanya vizuri Kama watamsajili
Samiah
Nice
Furahav
Itakuwa vizuri Onana akija chelsea.
Tahiya
Daah Lampard naye anazingua Mbna Keppa ni golikipa mzur sana cjui kwanini anamwacha
Ester mmakasa
Wakiwa na nia watapata wanachokitaka.
David Pere
Bora arudi kwao anaweza kwenda kufanya vizuri kuliko kubaki England pale ji pagimu sanaa
Hilda
Waongeze juhudi
Evaluziga
Chelsea hawawezi kuniachia kwa kipindi hiki kigumu
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa
warda
Yupo Vizuri Lakini#Meridianbettz
mwakalosi
huyu mjeuki auzwe tu
Lydia Emmanuel Magoti
Yupo vizuli lakini anajua
felister
good news
Rehema
Taarifa iko poa kabisa
Adelta
Yuko vizuri #meridianbetz
lombo
habar njema
Salma
Wakaze ili ndoto yao ya kumpata itimie
Johnmary joel
Uamuzi ni wao kumuuza au kumbakiza#meridianbett
Gabriel
Habar njema sana 👍
# meridianbet Tanzania
Theckla
Kikubwa fedha
Christopher
Tokea alivyomdharau sarri, simuelew kabisa huyu kipa, aame tu
Devotha
Ni kipa mzuri anaweza kwenda club yoyote
Angelina
Mchawi pesa tu
Magdalena
Chelsea sizani Kama wataweza kumuachia kiurahisi ivyo
Hamidu
Keppa bado kipa mzuri nenda katafute changamoto nyingine#meridianbettz
Amani
Sidhani kama Chelsea wanaweza kumuachia kwa kipindi hiki ukizingatia amekuwa imara sana golini bado kipa mzuri Ni vitu vidogo vidogo# meridianbettz
Fatuma kasomo
Yupo vizuri sana
Caroline
Kepa ni Goal Keeper Mzuri jmn
Dorophina
Yupo vizuri wafanye wamsajili
Kenani
Sidhani km ni rahisi kwao