Manchester City wameibuka kuwa na kikosi chenye thamani zaidi katika vikosi vya soka ulimwenguni. Klabu hii ilishindwa kuulinda ubingwa wake wa Ligi ya Primia ba kuwarususu Liverpool kuibuka kidedea kwa mara ya kwanza baada ya miaka 30.
Manchester City pia walishindwa kutoboa katika hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuchapwa 3-1 dhidi ya Lyon.
Hata hivyo, kwa mujibu wa dondoo za Transfermarkt, man City wameweza kuwa kileleni kwa kuwa na kikosi cha soka chenye thamani zaidi ulimwenguni. Kikosi ambacho kinakaribia thamani ya paundi bilioni 1.
Kikosi kamili cha Manchester City, kina jumla ya thamani ya paundi milioni 958, wakishika nafasi ya kwanza kwenye vikosi vya soka vyenye thamani zaidi mbele ya Barcelona (£955m) na mabingwa wa Premier League Liverpool (£917m) kwa jumla.
Nafasi 5 katika nafasi kumi bora, zimeshikiliwa na vilabu ya Ligi ya Premier. Chelsea wakiwa nafasi ya sita (£727m), Man United wakiwa nafasi ya tisa £685m, Tottenham wakiwa nafasi ya kumi (£637m).
Hata hivyo, licha ya vilabu vya Uingereza kutawala orodha hii ya vikosi vya soka vyenye thamani zaidi duniani, bado wamekwama kwenye Ligi ya Mabingwa. Hii inawafanya watupiwe macho zaidi katika uchambuzi wa thamani ya vikosi na mafanikio ya vikosi hivi.
Orodha kamili 10 Bora: Vikosi vya Soka Vyenye Thamani Zaidi Ulaya 2019/20

Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.


Shafii
Hapa tunakuja kuona soka la sasa ni biashara ila sio uwezo au ukubwa wa kikosi sasa uingereza licha ya kuingiza timu nne zenye thamani kubwa ila bado kwenye ligi ya mabingwa hakuna tulichokifanya hii inamaana kwamba tuna nunua wachezaji kwa thamani kubwa aliyakua haendani na pesa za manunuzi kwa mchezaji huyo cha msingi kwa sasa nadhati wangejikita zaidi katika kuinua wachezaji kutoka academic na kutengeneza vikosi bora na imara kwa mpango enderevu katika soka hii itapelekea kuja kufanya vizuri kwenye ligi ya mabingwa na mashindano mengine kwani timu itakua na wachezaji waliozoeana kwa mda mrefu.
Sadick
Nidhani Man U ipo namba moja! Pep Guardiola lazima ajiulize sababu ya kikosi chake ghali na ameshinda Carabao pekee#meridianbettz
Gabriel
Kumbe hivyo mbona wametusahau Arsenal au hatuko kwny soka la biashara ?
Furahav
Hatari sana.
Hope mwaikuka
Duh! Nlkua cjui kama man city ni ghal
Rehema
Safi
felister
duh kumbe man city ni kikosi chenye thamani zaidi kuliko vyote ulimwenguni
Issa
Mpira ni ufundi na biashara tu ndio soka la siku hizi
Sabrina
Woooh asanteni kwakunijuza
Omary lukumbi
Asante kwa taarifa
Dorophina
Waingereza wameingiza timu tano lkn mbona hatuoni faida yoyote ile inayoendelea katika usajili wanao ufanya
Ernest
Baada ya dirisha la usajiri kutakuwa na mapinduzi makubwa sana kwenye hii list
Mwajumah
Hatari sana
Sauda
Safi sana
aisha
Habari njema
magdalena
united wapo chini sana duh
Nasra
Nice
Adelta
Habari njema 👍
@meridianbettz
Khadija
kutakuwa na mapinduzi makubwa sana kwenye hii list#meridianbett
Zeiyana
Hinaonesha kabac soka la sasa lipo kibiashara zaidi
Shan
Hapo kazi ipo!
Caroline
Asante meridianbet Kwa taarifa
Mwanahamisi
Safi sana
Fatina mfingi
Safi
Amiri Kayera
Wengine wamewek pesa lkn ata komb awajapata
Tatu
Mm naona kalibia ya timu zote za uingereza ni bora kwenye vilabu vyake ndiomaana mchezaji akitua kwenye vilabu vya uingereza umeona ndio amecheza soka kweli kweli
Johnmary joel
Nimevikubari biko vizuri#meridianbett
Lydia Emmanuel Magoti
Duu Atari sana
Neema
Safii sana
Saupha mohamed
Good news
Janeflora malisa
Nice
Povel
Duh noma sana hiiiii City wametishaaa
David Pere
Hata hivyo, kwa mujibu wa dondoo za Transfermarkt, man City wameweza kuwa kileleni kwa kuwa na kikosi cha soka chenye thamani zaidi ulimwenguni. Kikosi ambacho kinakaribia thamani ya paundi bilioni 1.
Rose kapinga
Man city mmetisha xana!!!;
Ester jackson
Nilijua kuwa man u itakuwa ya kwanza kutokana nakuwa na mashabiki wengi kumbe nafasi ya tisa na pia nafasi ya kwanza wako vizuri lakininpia wameshindwa kuweka heshima yao katika ubigwa baada ya kupoteza inaonekana kama hasaivi timu kubwa wamebaki jina tu
farida ahmadi
Vikosi vizuri Sana
Samiah
Safi
warda
Bora nimekiona kikosi changu