Watford Imetoa Wagonjwa 3 Kati ya 6 Waliopatikana EPL

Wachezaji wa klabu ya Watford wanaripotiwa kukataa kurudi kwenye mazoezi baada ya klabu kuwa na kesi tatu kati ya sita za coronavirus zilizoripotiwa kwa Vilabu vya Premier league… Nahodha wa Tge Hornets, Troy Deeney alisema Jumanne hatakuwa akihudhuria mazoezi kwani anaogopa kumuweka mtoto wake hatarini.

Troy Deeney

Mchezaji mmoja wa Watford na wafanyakazi wawili wamekutwa na coronavirus baada ya hatua ya kwanza ya vipimo kufanyika Jumapili na Jumatatu… Baada ya The Hornets kuweka wazi habari hiyo, wachezaji kadhaa wa Watford wanajiunga na msimamo wa Deeney na watakataa kurudi mazoezini leo Jumatano, kulingana na The Athletic.

“Inachukua mtu mmoja kuambukizwa ndani ya kundi na sitaki kuwa mmoja na kuleta nyumbani,” alisema Deeney. “Mwanangu ana umri wa miezi mitano tu, alikuwa na shida ya kupumua, kwa hivyo sitaki kurudi nyumbani kumuweka kwenye hatari zaidi.”

 

43 Komentara

    Watu walimpinga sana lakn undani wa hili jambo kumbe upo hivii

    Jibu

    Izo ni habari za kusikitisha daah

    Jibu

    Duh! Bundi ananyemelea project restart #Meridianbettz

    Jibu

    Duuuh atar

    Jibu

    duuh noma sana

    Jibu

    Ni habar za kuhuzunisha sana tatizo colona hii sio nzuri kabisa

    Jibu

    Duuh inasikitisha sana

    Jibu

    Mungu ajalie mambo yaende sawa

    Jibu

    Mungu awaepushe na janga hili

    Jibu

    Body ya ligi inabidi ipitie tena maana wakileta mzaha ligi inaweza simama tena

    Jibu

    Safi! Habari nzuri za michezo.#meridianbettz

    Jibu

    Mungu aingilie katiii kwa kweli.

    Jibu

    Duuh noma

    Jibu

    Pole sana thanks meridian kwa update

    Jibu

    balaa zito

    Jibu

    Daaaah siyo poa

    Jibu

    Habar ya kuhuzunisha

    Jibu

    Daah..!tulimiona jamaa muoga kumbe kweli viongozi hawapo makini..!Watford mnatuangusha mashabiki wenu

    Jibu

    mungu awaepushe na ili janga

    Jibu

    Mungu amjalie Mambo yawe mazuri

    Jibu

    Deeney needs to isolate himself from his family and join the club for training

    Jibu

    Walikuwa hawajajilinda na corona

    Jibu

    Dah! Hatarii

    Jibu

    Duuh sio poa.

    Jibu

    Duuh balaa

    Jibu

    Viongozi wao hawapo makini sana kabla ya kurudi katika mchezo wangefanyiwa kwanza vipimo na kujua kama wachezaji wao wako salama au laaa

    Jibu

    Inaogopesha jmn hil gonjwa co poa

    Jibu

    Mungu ajalie Mambo yawe mazuri

    Jibu

    bad news

    Jibu

    Mm ishakuwa tatizo

    Jibu

    Naona Liverpool wanavyo omba wapone haraka ligi iendelee watoe gundu#meridianbettz

    Jibu

    Viongozi wanatakiwa waongeze umakin zaidi kabla mchezaji ajaingia kambini achekiwe na wajilizishe kua Hana tatizo tuwe makini jamn huu ugonjwa ni hatari sana

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Umakini zaidi unatakiwa katika kipindi hiki kwani hili gonjwa limekuwa tishio sana

    Jibu

    Corona noma waendee kuchukua tahadhari zaidi

    Jibu

    Duu hatari sana

    Jibu

    dah mungu atuondoshee hili janga jamani

    Jibu

    Mungu aendelee kutupigania zidi ya corona

    Jibu

    Mungu awajarie Mambo yaende sawa

    Jibu

    Lazima waangalie na usalama wao kwanza

    Jibu

    Mungu asaidie hili nalo litapita

    Jibu

    Mungu awaepushe na gonjwa hilo

    Jibu

    Hiyo balaa

    Jibu

Acha ujumbe