Gallagher Kutimkia Atletico Madrid

Makala iliyopita
Juventus Yahamia kwa AdeyemiMakala ijayo
Crystal Palace Inaendelea Kujiimarisha
Klabu ya Chelsea wanaelezwa kuhitaji kiasi cha β¬milioni 35/40 kutoka kwa klabu ya Atletico Madrid ili waweze kumuachia kiungo Conar Gallagher, Hivo miamba hiyo ya soka nchini Hispania ndio wapo kwenye mazungumzo kwasasa na Chelsea kwajili ya kuhakikisha wanafikia makubaliano ya kupata saini ya kiungo huyo.