GAMONDI ATUMA UJUMBE MZITO SIMBA

Ipo wazi kuwa Agosti 8 2024 inatarajiwa kuchezwa Kariakoo Dabi katika Ngao ya Jamii ikiwa ni hatua ya nusu fainali, fainali inatarajiwa kuchezwa Agosti 11 kwa mshindi wa mchezo wa Azam FC dhidi ya Coastal Union, itakayochezwa Uwanja wa New Amaan Complex.
Makala iliyopita
Ivan Toney Aingia Kwenye Rada za SpursMakala ijayo
MAKOCHA SIMBA NA YANGA WANAOGOPANA