Georginio Wijnaldum anatarajia kukaa kitako na Jurgen Klopp kuamua hatma yake klabuni Liverpool.
Staa huyu anadaiwa kuwa amejiandaa kuwasilisha ombi lake la uhamisho, kama siyo kukubaliana dili mpya. Wijnaldum amebaikia na miezi 12 tu mwenye mkataba wake sa sasa.
Baadhi ya taarifa zinasema kuwa Staa huyu yupo tayari kusaini mkataba mpya, na kwa awali angeweza kusajili makubaliano ya mwanzo wakati mambo mengine ya kimkataba yakiendelea kupikwa mezani.
Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari za michezo vya nchini Hispania zinadai kuwa Staa huyu anataka kushinikiza uhamisho kuelekea Barcelona. Hii ni baada ya Ronald Koeman kutajwa kuwa anamuangalia Wijnaldum kama kipaumbele chake cha uhamisho.
Vyanzo kutoka Uingereza vinaamini kuwa Georginio Wijnaldum bado yupo katika mipango ya Jurgen Klopp katika kuanza kuutetea ubingwa wa EPL msimu mpya.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
Ester jackson
Popote kambi na uwamuzi wako ndio mayanikio yao
Sadick
Georginio Wijnaldum alisajiriwa na Liverpool kutokea Newcastle baada ya kushuka daraja na tangu wakati huo amekuwa kikosi cha kwanza naaimini ana nafasi kuendelea vizuri akisalia Liverpool#meridianbettz
Povel
Hapo ni maamuzi yake kusalia au kwenda popote sisi mashabik wake tupo pamoja naye
Dorophina
Ni maamuzi tu achague wapi anataka kupatumikia kwa mda huu
Hope mwaikuka
Uamuz huu huko vzur
Flomena
Popote Jambo umauzi wako
Adelta
Tusubiri kuona msimamo wa kocha wake wa Liverpool km ataitaj kumtumia la asepe zake barca
Tatu
Popote kambi
Nasra
Jambo zuri
Sauda
Maisha popote
Caroline
Liverpool timu kubwa.tulia humo humo
Mwajumah
Popote kambi tu na uwamuzi unao mwenyew wap pa kwenda#Meridianbettz
Fatina
Maamuzi Ni yako utajua wapi uwende
Furahav
Akibaki liver litakua jambo zuri.
Khadija
Kambi popote#meridianbettz
Theonestina
Jambo zuri
Hidaya
Kila mtu na uwamuzi wake
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri kokote kambi
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
felister
kambi popote
Saupha mohamed
Makala safi
Salma ngende
Uwamuzi ni wake
Samiah
Maisha popote
Mwanahamisi
Jambo zuri
Fatuma kasomo
Sio jambo baya
Genia Sikaluzwe
Maisha popote
Ernest
Ukiangalia kwa makini huenda Liverpool wasipendezwe na mchezaji huyu kuhama lakini kutokana na nia ya mechezaji mwenyewe na mambo ya kibiashara Liverpool hawana Budi kumuuza Wijnaldum
aisha
Nenda salama kakipige liverpool kila la kher
Amiri Kayera
Liverpool wambakize atawasaidia
David Pere
Hapo ni maamuzi yake kusalia au kwenda popote sisi mashabik wake tupo pamoja naye
Sabrina
Inapendeza km atabaki
Neema
Popote kambi
Gabriel
maamuzi yake kusalia au kwenda popote sisi mashabik wake tupo pamoja naye
Shafii
Uamuzi upo kwake.
Janeflora malisa
Maamuz ni yak
Aziza mushi
Maamuzi ni yake.
Rose kapinga
Fanya maamuzi sahihi!!!
Elika
Kambi popote
[email protected]
Mfungwa achagui gereza popote sawa tu
warda
Huyu Bado hajajua mwelekeo wake#Meridianbettz
Issa
Widjeadam ni safi sana kuendelaea na liver
Theckla
Kokote kambi
Devotha
Maamuzi ni yake
Shani
Ni safi kuendelea kuifanyia mazuri liverpool
Magdalena
Maamuzi mazuri