Mwamuzi Gil Manzano amefanikiwa kuwatoa nje kwa kadi nyekundu Messi pamoja na Neymar na Suarez kipindi wakiichezea Barcelona.
Nyota wa Barcelona hawapendi kukutana na Gil Manzano. Mwamuzi huyo alimtoa Lionel Messi wakati wa fainali ya Supercopa de Espana Jumapili, na kumfanya Muargentina huyo kuwa mchezaji wa hivi karibuni wa Blaugrana ambaye amemtunuku kadi nyekundu.
Messi alifuata nyayo za Neymar na Luis Suarez kwa kutolewa nje na Gil Manzano, ikimaanisha refa huyo sasa amewapa kila mmoja wa watatu wa MSN kadi nyekundu.
Messi: Supercopa de Espana fainali dhidi ya Klabu ya Athletic, 2021
Kutolewa kwa Muargentina huyo kumekuja katika dakika za ziada kwa msaada wa VAR. Hakuna kitu kilichoitwa wakati mchezo unaendelea kuchezwa, ilibidi refa ashauriwe ili kutoa uamuzi. Ilikuwa kadi ya kwanza nyekundu ambayo Messi aliipata katika mechi rasmi akiwa na Barcelona.
Neymar: LaLiga Santander vs Malaga, 2016/17
Dhidi ya Malaga mnamo 2016/17, Neymar alitolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kumkasirikia Diego Llorente.
Suarez: Copa del Rey vs Atletico Madrid, 2016/17
Kutolewa kwa Suarez kulikuwa na utata zaidi. Mwamuzi Alimwonyesha MuUruguay kadi yake ya kwanza ya manjano dakika ya 86 kwa kumchezea rafu Juanfran Torres, ambayo ilipingwa na No.9. Dakika tatu baadaye, aliacha mkono juu ya Koke kwenye mpira wa angani ambayo ilimfanya atolewe nje, ikimaanisha alikosa fainali.
Pokea mualiko wa Meridianbet na Pragmatic Play kutengeneza mkwanja kwenye kasino ya mtandaoni sasa. Jiunge sasa kupata ishindi huu.
Dorophina
Inaonekana hi manzano mkali ataki masihara
Angelina
Nice update
felister
duh
Neema juma
Habarii moto moto hizi
Ester mmakasa
Lakini kama wako nje na sheria si nilazima wapewe adhabu na muamuzi.
Janeflora malisa
Safi
Rahmal
Vizuli
Adelta
Adhabu inatakiwa
Venerose
Mmmh
Sarah
Duuh
Sabrina
Duuh jamaa noma sana
Magdalena
Duh balaa
Ernest Kimeru
Gil Manzano ni kiboko
Sadick
Hukutatokea Refa bora duniani kama Collina ambae maamuzi yake hayajawahi kuwa na utata
Lydia Emmanuel Magoti
Duuh sio poa
Issa
Mess apindui
warda
Huyu mwamuzi huwa anapenda sana sifa