Mchezaji wa AC Milan, Mreno Rafael Leao, 21 amevunja Rekodi katika Ligi ya Serie A, wakati wa mchezo dhidi ya Sassuolo.
Leao alitumia sekunde 6.2 kufunga bao hilo uwanjani Mapei na kurekodiwa kuwa ni bao la haraka zaidi kufungwa katika Ligi kuu ya nchini Italia.
Rekodi iliyokuwepo ilikuwa inashikiliwa na mshambuliaji wa Udinese na Piacenza, Paolo Pogi aliyefunga goli sekunde ya 8.9 akichezea timu ya Biancorossi mwaka 2001.
Rekodi hiyo pia imevunja rekodi katika ligi 5 bora ulaya.
Serie A: Rafael Leao ( 6.2 sec Milan vs Sassuolo )
LaLiga: Joseba Llorente ( 7.2 sec Valladoid vs Espanyol )
Premier League: Shane Long ( 7.69 sec Southampton vs Watford )
Ligue 1: Michael Rio ( 8 sec Caen vs Cannes )
Bundesliga: Karim Bellarabi ( 9 sec Leverkusen vs Dortmund)
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???
Issa
Rekod kali sana
samiah
Bonge ya rekod
Saupha mohamed
Safi
Flomena
Good news
Sarah
Bonge la rekodi
Dorophina
Rekodi ya kibabe kabisa
Caroline
Hongera zake
Hopemwaikuka
Waooo
aisha
Pongezi kwake
Lydia Emmanuel Magoti
Safii
Tatu
Hongera yake
warda
kama la Chama