Mwendeshaji wa maswala ya Teknolojia ya Ligi kuu England ameomba radhi baada ya goli la Sheffield United kukataliwa kwenye mchezo wa ugenini dhidi ya Aston Villa mchezo ulioisha kwa sare ya bila kufungana 0-0
Mlinda mlango wa Astonvilla Oliver Norwood alijifunga bao katika dakika ya 42 kutokana na kudaka mpira ukiwa ushavuka mstari lakini saa ya mwamuzi Michael Oliver, iliyounganishwa na teknolojia ya ‘goalline’ haikuashiria mpira ulikuwa umevuka mstari.
Idara ya teknolojia imeomba radhi na kusema kwamba ilikuwa mara ya kwanza kosa kama hilo kutokea katika mechi zaidi ya 9,000 tangu teknolojia hiyo ianze kutumika. Ameleza kuwa kamera zote saba zinazofuatilia goli zilifichwa na ama golikipa, mlinzi au mwamba wa goli.
kama Goli lile Lingehesabiwa lingefanya Aston Villa kujificha chini zaidi ya mstari wa kunusikna kushuka daraja, lakini pia bado ina nafasi finyu ya kupambania kubaki EPL ukilinganisha na michezo iliyobaki ambayo ni wazi kabisa kua ni migumu kwa Aston Villa.
Aston Villa kwa sasa wapo nafasi ya 19, wapili kutoka chini wakifuatiwa na Norwich (20) Huku walioko juu yao ni Bournemouth (18) na mchezo wao unaofuata ni dhidi ya Chelsea utakaochezwa tarehe 21 mwezi wa 6.
Sylvester
Lile lilikua goli kabisa sema bora imekua hivyo kwani timu anayochezea mtanzania mwenzetu Mbwana Samatta ingekuwa kwenye wakati mgumu wa kushuka daraja#meridianbettz
Tahiya
Izi technology ni hatar sana ila imekuwa hauweni kwa Aston Villa
Shafii
Bas itakua sio goal caz video assistance imeamua no goal caz mpira ulishatoka nje
Agness
Duuh hatari
Ester jackson
Habari nzuri ila muwe makini kwa wakati mwingine ilikuwa mnawaweka hatarini Aston villa japo wapo katika uhauweni kidogo
Neema
Aston villa wazidi kupambana wasishuke daraja
lombo
gud newz asante
Rehema
Hii ni hatari
Antony Luseno
Utata huu ingekuwa zama zile hamna VAR sawa lakini kwa zama hizi sheff wapewe point zao
Issa
Ilikuwa bonge la mechi lakini villa wapambane tu
warda
Washuke tu daraja#Meridianbettz
Njiku
Lilikuwa ni bonge la machi sema aston villa wapambane ili kutoshuka daraja,game inayofuuta dhidi ya chelsea watoke na pwenti tatu ili kutoka kwenye kinyang’anyilo cha kushuka daraja
Omary lukumbi
VAR haikufanya kazi vzr maana haiwez kua goli alafu likataliwe hii system waliona ndio suluhisho ya magoli kama haya tata
Zeiyana
Video assistance zimeona no goal kwaiyo tuheshimu maamuzi yao
Gabriel
Hili goli lilimuuma sana Chris Wilder manager wa Sheffield ambaye alizungumza na sky newz kuhusiana na kupingwa kwa goli ambalo VAR alisema sio goli halali kwa pande ambao tulioshuhudia tunaamin n goli kabisa
Devotha
Villa wapambane wasishuke daraja
Sabrina
Maoni:Duu hii mechi ilikua nouma sn
Khadija
duuh sas itakuwaje#meridianbettz
Furahav
Duuh noma sana.
Leonard
Yaliopita yameshapita tugange yajayo astonvila mpambane msishuke
Magdalena
Like lilikuwa goal ambalo limeleta gumzo
Caroline
Wenzetu Wana teknologia.jmn
Mariam mtandama
Duuuh
Fatuma kasomo
Hii mechi ilikua balaa
Dorophina
Wamewakatalia tu km mpira umevuka mstari kwann likataliwe walekebishe mitambo yao
Hamidu
VR inavyoshindwa kufanya maamuzi yake kwa ufasaha
Mwanaidi
Asante kwa taatifa meridian
Samira
Hii mechi ilikua nzuri sana
Genia Sikaluzwe
Daaaah hatari sana
isha
Duuh ilikua hatari sana
Theckla
Aston Villa wamepumua kwa kiasi fulani
Johnmary joel
Aston villa wajipange vizuri #meridianbettz
Evaluziga
Washuke tu daraja
Sadick
VAR ktk Ligi imeonyesha haina msaada kwa refaree zaidi ya maumivu. Hivi karibuni kuna mmoja ya wachezaji alidai inaondoa uhondo wa mechi #meridianbettz
Neema hassan
Asante kwa makala
Ester jackson
Habari nzuri ingawa bado kwa Aston villa wanakibarua kizito
Frank Patrick
Villa hawaonyeshi wanachokipambania
David Pere
Mwamuzi amewabeba Villa ili washishuke daraja , lakini powa Kama watabaki tutaendelea kukuona samatta EPL
Christopher
Oliver nolwood ndo alikiwa mpigaji, hata hvyo inaonekana alisukumwa kipa yule
Elika
Nawapa pole sana Aston villa ingawa mtanzania mwenzetu yupo huko
Lydia Emmanuel Magoti
Duu noma sana
Haulath/Lath graffix
Aston Villa wanamtihani.
Povel
Lilikiwah goal sema technology ya goal haikuwah upand wao thnks meridian bet kwa update za michezo
Adelta
Good news
Hope mwaikuka
Yang macho
Ernest
Bora lingekuwa goli tuuu
Theonestina
Mechi ilikuwa Kari sana
Aziza mushi
Astonvilla wapo vizurii wazidi kupambana wasishuke daraja.
Adelta
Good news
Salma
Wakaze aston wasishuke daraja
mwakalosi
ila Aston villa hachomoki kushuka daraja
Samiah
Kaza buti aston usishuke utawapa watu maneno ya kuongea
felister
dah hii mechi imenipita sijaiona
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa
Tatu
Good news