Meneja wa Manchester United Ole Gunnar anasema nyota kinda wa klabu hiyo Mason Greenwood amepikika tayari. Sasa anaweza kuichezea timu ya taifa ya Uingereza.
Kinda huyu mwenye miaka 18 tu amekuwa kwenye fomu nzuri pale Old Traford. Ole Gunnara ana uhakika kuwa nyota huyu anaweza kufanya vyema ikiwa ataitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa cha Uingereza.
Greenwood amekuwa akifananishwa na nyota wa zamani wa Man United Robin van Persie. Mpaka sasa amewafungia United jumla ya magoli 15 kwenye michuano yote, 8 yakiwa ni ya Ligi ya Primia.

Greenwood aliona lango mara mbili kwenye mechi dhidi ya Bournemouth ambao wanakalia kuti la moto, karibu na kushuka daraja. United waliwafunga jumla ya bao 5-2.
Solskjaer anaamini huu ni wakati wa Gareth Southgate kumuita kinda huyu kikosini, na bila shaka atafanya maajabu katika kikosi hicho.
Imani ya meneja Solskjaer ni kuwa kama umeweza kuichezea Man United basi unaweza kuichezea timu yeyote.
“Ukiichezea Man United nafikiri ni jaribio zuri na gumu kutosha kuchezea timu nyingine yeyote. Ukiiweza mikiki mikiki ya kuchezea Man United basi unaweza kuichezea timu yeyote na Mason anao huo ubora ambao wengi hawana. Hivyo anaweza kuwa kwenye kikosi cha U21 cha Uingereza bila shaka. Anacheza vizuri kwetu.” -Ole Gunnar Solskjaer
Unajua kuwa Meridianbet wanatoa mizunguko 50 ya bure kwa mteja mpya? Jisajili sasa na ufurahie burudani na ushindi wa Kasino ya Mtandaoni.
Habari njema kwa timu ya taifa ya uingereza
Jamaa yuko vizuri sana asibweteke kwa kuwa ameshasifiwa
Nice nwes#meridian
Kama ameweza kuchezeaa man u basi anaweza kuchezea timu yeyote
Ikiwa anaweza cheza man bc timu yyte ataweza
Huyu dogo ni hatari sana na anaweza kabisa kuichezea timu take ya taifa na atafanya vizuri na kuweka Record kubwa na ya England
Ni kweli yupo sahihi kwa wachezaji makinda Kama hawa wanapo parfom vizuri ndio wakati wao wa kuwapa nafasi ya kucheza zaidi ili waweze kujijengea uzoefu Mara dufu.
Anaweza kuwa vizuri katka timu yeyote ile.
Asante kwa taarifa
Good
Kadogo kako vzr ila kasisifiwe sana anaweza kujiona anakipaji akabweteka
Greenwood is talented young footballer#meridianbettz
Ni.habar njema kwa timu ya taifa ya uingereza kwa ujio na kiwango cha juu kinda huyu kwa sasa anacho onesha ana uwezo mkubwa na kukwamiaha mpira wavuni kila anapopata nafasi ya kufunga
Greenwood anakuja kwa kasi sana
Ni habari njema kwa timu ya taifa ya uingereza#meridianbettz
Uyu jamaa miaka 2 mbele atakuwa mbali sana
Ni mchezaji mzuri sana#meridianbett
Kweli yupo sahii kwa wachezaji makinda Kama hao wanapo parfom vizuri ndio wakati waho wakuwapa nafasi kucheza zaidi
Dogo yuko vizuri
Good news.
Greenwood yupo poa sana licha ya kufanianishwa na nyota wa uholanzi aliyejipiga man United Robin van persie Ila kuna vitu kama anavyokimbia na matege yake pia anavyopiga miguu yote yote kama van persie vile vile dogo yupo poa sana
Greenwood ni vizuri kama wamempa nafasi kwa uingereza kwasababu ni kinda anaejituma na ana uwezo wa kufikiri haraka sana .
yp yupo vizur na anastahili kabisa kubaki uengereza coz anafqnya vzr sana pale mashetan wekundu( manchester) na anamchango mzur sana pale kilabuni…
Axante kwa taarifa
Anastahil kuitwa kwenye kikosi cha taifa cha uingereza ili apate uzoefu zaidi
Greenwood ameiva sana ole amejua kumchezesha na kumpa kujiamini uwanjani na hiyo imemfanya awe imara kwa mda mfupi kiasi mashabiki kumfananisha na vanpersie
Good news 👍
Kwa kiwango chake Nadhani Uingereza itakiwa na kikosi Bora Sana kwa miaka hii
Green yuko vizuri sana anakiwango kikubwa mno
Green yupo vzr sana
Kijana yuko moto sana.
Ni mzur ila aongez juhud afk mbar
Maoni:Kijana yupo vizuri
Dogo mkalii sana na atazidi kutisha katika soko
Kwajuhudi anazoonesha anastahili hilo
Greenwood mchezaji tishio anaekuja kwa kasi
Ni mchezaji anayekuja vizuri i
Ukiichezea Man United nafikiri ni jaribio zuri na gumu kutosha kuchezea timu nyingine yeyote.
Jamaa anajua sana
Still young bt ako na talent
Still young but ako na talent
Mchezaji bora sana
Dogo anakiwango kizuri cha mpira atawafaa sana
Jamaa ni fundi sana huyu
Dogo Atakuwa Mkali sana #,Meridianbettz
Good news 👍
Mchezaji mzuri
Dogo anajua sana
Greenwood ni mchezaji mzuri mbona
Kikosi kitahimalika zaid kwn yuko vizur