Antoine Griezmann na Ousmane Dembele wamerejea kwenye mazoezi mepesi na Barcelona. Hii ni kuhakikisha wanakuwa katika hali nzuri kuelekea mechi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Napoli.
Mechi ya mzunguko wa kwanza wa hatua ya mtoano wa timu 16 ilimalizika kwa sare ya 1-1 pale Stadio San Paolo na mechi ntingine ya maamuzi itachezwa Agosti 8.
Barcelona wamejitahidi katika wiki za mwisho za msimu wao kule Hispania, na Griezmann alikuwa na jeraha la paja na wakati Dembele alikosekana dimbani tangia mwezi Januari.
Chanzo kimoja cha habari za soka Hispania, kinaripoti kuwa wachezaji wote walionekana kwenye mazoezi na wachezaji wengine wa kikosi hicho. Hii ni kuelekea kibarua walichonacho kwenye LaLiga.
Hii inakuja baada ya taarifa nyingine kuwa Clement Lenglet alirudi kutoka kuuguzua jeraha lake mapema wiki hii.
Hata hivyo, Arturo Vidal amesimamishwa, pamoja na Samuel Umtiti, Jean-Clair Todibo na Roland Araujo wote wanatarajiwa kuikosa gemu ya dhidi ya Napoli.
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure. Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.
ChezaHapa Sasa
Amiri Kayera
Jambo zur sanaa kulud kusaidia team
Sadick
Napoli haijavuja Ligi ya Mabingwa msimu ujao hivyo itajitoa mazima ipate tiketi ya kucheza msimu ujao kwa kuwa Bingwa#meridianbettz
Devotha
Hii ni habari njema
Omary lukumbi
Kwa kikosi cha sasa cha Barcelona sidhan kama kitaweza kupambana vilivyo na napoli ambao kwa sasa wako kwenye form sana
Saupha mohamed
Jambo zuri
Shafii
Mechi itakua ya aina yake.
Gabriel
Mech kal sana
Povel
Habar njema kwa mashabik wa barca
Theonestina
Duuuh atar
Leonard
Itakuwa mechi nzuri na yenye mvuto
Flomena
Barcelona wamejitahidi katika wiki za mwisho za msimu wao kule Hispania, na Griezmann alikuwa na jeraha la paja na wakati Dembele alikosekana dimbani tangia mwezi Januari.
Zeiyana
Barcelona wamekua na matokea mabovu sana sizani kama wataweza kuinuka na ushindi zidi ya wapinzani wao napoli
felister
jambo nzuri sana kurudi kusaidia timu
Adelta
Mechi itakuwa nzuri Sana
@meridianbettz
Fatina mfingi
Hitakuwa mechi ya aina yake!!
Caroline
Msituangushee
Mwajumah
Ni Jambo zuri sana kulud kusaidia team
Khadija
Mechi kali sana#meridianbettz
aisha
Mechi itakua kali sana
Ernest
Kila siku wadau tumekuwa na shauku ya kumuona Griezmann akifanya mambo yake kama wakati yupo Atletico Madrid lakini bado anasuasua, Nadhani kocha anatakiwa kuangalia upya jinsi ya kumchezesha
Furahav
Mechi itakuwa kali sana.
Lydia Emmanuel Magoti
Niabari nzuri kurudi kuja kuisaidia timu
Rehema
Jambo zuri
Tatu
Habari njema hii
Genia Sikaluzwe
Duuh hatari
Ester jackson
Mechi ya mzunguko wa kwanza wa hatua ya mtoano wa timu 16 ilimalizika kwa sare ya 1-1 pale Stadio San Paolo na mechi ntingine ya maamuzi itachezwa Agosti 8 .Barcelona wamejitahidi katika wiki za mwisho za msimu wao kule Hispania hivyo naamini watashinda
Johnmary joel
Tunasubili kwa hamu#meridianbett
Sabrina
Itakua vizuri sana
Hope mwaikuka
Fresh tu
Zuhura omary kindamba
Hii ni habali njema kwetu
Theckla
Napoli wako vizuri
Dorophina
Habari njema wamerudi wataongeza nguvu uwanjani maana mechi inaonekana ni ngumu sana
David Pere
Hata Kama watacheza lakini bado kipigo kipo Kama kawa
Mwanahamisi
Mechi kali
Magdalena
Barcelona itambidi aongeze juhudi za kutosha maana Napoli nao hawapoi
Angelina
Goodupdate
Asia Abdy
Wakazee
warda
Asante kwa kutujuza