Eric Garcia anaweza kuondoka mapema baada ya kumaliza mkataba wake au baada ya kumwambia Guardiola kuwa hahitaji kusaini mkataba mwingine.
Nyota huyu ambaye mkataba wake unaisha mwisho wa msimu huu, amekuwa akihusishwa zaidi na kujiunga na klabu ya Barcelona.
Kwa mujibu wa Guardiola, wakati akizungumza na vyombo vya habari katika maandalizi ya kuelekea mechi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Real Madrid, amesema kuwa mlinzi huyu amekataa ofa iliyowekwa mezani ya kusaini mkataba mpya kusalia Etihad Stadium.
“Ametuambia kuwa hataki kuongeza mkataba na Manchester City. Ana mwaka mmoja zaidi, tunataka aongeze, lakini hataki kuongeza mkataba.”
Garcia amewachezea Manchester City mechi 22 kwa michuano yote tangia alipojiunga mwaka 2017. Zamani amewahi kutumia mda wake katika Akademi ya Barcelona ya La Masia.
Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.
Sadick
Nadhani Eric García anataka timu itayomupa nafasi kubwa ya kucheza #meridianbettz
Furahav
Maisha popote mwache aende tu.
Neema juma
Kama hataki kubaki aende tu
Amiri Kayera
Bola akataft new challenge
Zuhura omary kindamba
Bola aende tu
Rehema
Ni kheri aende tuu
Ester mmakasa
Bora aende maisha popote kijana.
Devotha
Mwache aende akatafute nafasi nyingine
Rose kapinga
Kambi popote aangalie maslah tuuu!!!
Gabriel
Eric Garcia anatakiwa atafute timu itakayompa namba na jina coz Garcia n bonge la mchezaji
Janeflora malisa
Ni vzr
Sabrina
Kokote kambi kikubwa masirahi yawepo
Latifa juma mohamed
Sawa, maisha popote ,labda atakuwa kifua mbele Zaid akiwepo Barcelona.
David Pere
Ni Jambo zuri kutafuta malisho sehemu nyingine
Theonestina
Duuuh
Mwajumah
Maisha popote mwache aende tu#Meridianbettz
magdalena
garcia angepata timu yenye viwango vya juu ingekuwa vyema zaidi ili aweze kupata uzoefu zaidi
Dorophina
Garcia ni mpambanaji mzuri anaweza kupata sehemu yoyote
Sauda
Bora akatafute maisha mapya
Mwanahamisi
Bora aende tuu
Adelta
Kama hataki wamwache aende tu kambi popote mradi tu kuwe na maslai
#meridianbettz
Khadija
Aende tuu#meridianbettz
Ester jackson
Kama hataki muacheni aenda msipende kukumbatia miba labda anataka sehemu ambayo inamafanikio zaidi ili iwe rahisi kwao
Nasra
Sio mbaya acha aende
Caroline
Kama ndo kaamua Ivo bc muacheni.
Zeiyana
Clabu kama clabu hinapata huwamuzi mgumu pindi mchezaji hanapotaka kuondoka klabuni hikiwa bado wanaitaji huwepo wake
Fatina mfingi
Kama kaamua mwacheni aende
Samiah
Nibora aendetu
felister
popote kambi kikubwa maslai tu
Frank
Game time imekuwa shida kwa kijana anahitaji team atakayocheza kila siku
Lydia Emmanuel Magoti
Maisha kokote kapambane jembe
Tatu
Popote kambi
Shafii
Kila lakheri aendako.
marry
maaumz ake wach aende
farida ahmadi
Maamuzi yake binafsi kuondoka hama kubaki
Issa
Garcia asepe tu
Hope mwaikuka
Fresh tu akisepa
Sabrina
Yeye ndio ataamua wapi akae
Fatuma kasomo
Aendezake tu!
Omary lukumbi
Huyu amekumbuka nyumban tuu na ndio wachezaj wa kispain walivyo wanapenda kurud kucheza.ligi ya nyumban
Ernest
Hapa Garcia ameangalia future yake kwani City imeonyesha dhahiri kutokuwa na future na mchezaji huyu ata amekuwa hapati muda mwingi wa kucheza kwahiyo uwamuzi wake ni sahihi kabisa
aisha
Kila la kher maisha popote
warda
Kwa nini sasa anakataa au maisha magumu kama kwa Yanga