Meneja wa Manchester City, Pep Guardiola anatumaini kuwa Eric Garcia atafanikiwa kuhamia Barcelona kwenye dirisha lijalo la uhamisho.
Kinda huyu mwenye miaka 20 amekataa kusaini mkataba mpya na Manchester City, akiwa na matarajio makubwa ya kurejea Camp Nou.
Mpaka sasa hakuna tamko ramsi juu ya uhamisho wa staa huyo, licha ya ripoti kuonesha kuwa Barcelona tayari walikuwa wamefikia hatua nzuri ya mazungumzo na uwakilishi wa mchezahi huyu.
Pep Guardiola anaamini kuwa nyota huyu ambaye amecheza mechi nne tu za Ligi Kuu Uingereza kwa msimu huu ataenda kuwa sehemu muhimu ya kikosi cha Ronald Koeman.
Guardiola amekiri licha ya staa huyu kutokucheza mechi nyingi msimu huu, ni mmoja wa wachezaji ambao anawahitaji zaidi, bahati mbaya hana cha kufanya mkataba wake unapoelekea ukingoni.
“Kuna wachezaji ambao hawahacheza mechi yeyote. Nadhani, kwa mfano Eric Garcia, ni mmoja wa wachezaji ninaowapenda. Ningependa kuwa na kina Eric Garcia 15 kwa sababu ya tabia yake. Wakati wote huifikiria timu. Wakati wote huonesha sura nzuri bila kujali ni wakati mbaya au mzuro.”
“Ataenda kwenye timu nzuri, na kama watu watasema kuwa hawatosheski nisipowachezesha, nadhani ni Eric. Mda mwingi hawepo kwenye benchi kwa sababu anaenda Barcelona. Natumaini hivyo. Lakini ndiyo ipo hivyo.” _ Pep Guardiola
Gracia pia hakuwepo kwenye kikosi kilichocheza fainali ya EFL dhidi ya Tottenham, ambayo Man City walishinda dakika za mwisho Jumapili.
Kwani Meridianbet Wanasemaje! Mkwanja Upo Kwenye Kasino mpya ya Mini Power Roulette.
Unawezaje kukosa ubingwa ndani ya kasino hii maridhawa, Nafasi ya kushinda mkwanja ni kwa kila mtu, Meridianbet inakupa nafasi ya kuwa mmoja ya washidi leo, unasubiri nini?
warda
Bora aende huko ataenda kuwa moto sana
Elika
Safi sana
Sania mapua
Kila la kheri
Magdalena
Kila la kheri kwake
Adelta
Good
Saupha mohamed
Kila la kheri
dorophina
Ni poa kama ataenda huko barca
Issa
City itakua imepoteza mtu makin
Venerose
Nenda tu maisha popote
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri sana
aisha
Safali njema huko uendako
Sarah
Good