Guardiola: Sitaki Kuondoka Man City ikiwa kwenye hali hii

Guardiola na klabu yake ya Manchester City amekua akipitia kipindi kigumu zaidi tangu aanze kufundisha mpira wa miguu kwani kwenye michezo kumi ya mwisho aliyoiongoza klabu hiyo amefananikiwa kushinda mchezo mmoja tu, Huku michezo saba akiambulia vichapo na kupata sare michezo miwili jambo ambalo limekua la kustaajabisha.
Makala iliyopita
Manchester Derby nani kukufukia kwa mwenzake?Makala ijayo
Simba Msituni Kuziwinda Alama Tatu Muhimu Leo