Inter wanakaribia kukamilisha usajili wa Achraf Hakimi kutoka Real Madrid kwa ada ya €40m (£35.8m) na nyongeza. Beki wa kati wa Morocco amekuwa kwa mkopo kwenye klabu ya Dortmund kwa misimu miwili iliyopita na bado anatafuta nafasi ya kucheza.
Hakimi, ambaye tayari wamekubaliana mkataba wa miaka mitano na Inter baada ya kuwa mafanikio akiwa na Dortmund. Anaweza kucheza beki ya kushoto au kulia lakini pia winga zote lakini Madrid walisema mapema huenda angekuwa mbadala wa Dani Carvajal msimu ujao, na kumfanya beki huyo kutafuta changamoto kwengine.
Hakimi alijiunga na Madrid 2006, akaanza kwenye vikosi vya vijana labla ya kucheza mechi yake ya kwanza La Liga mwaka 2017. Alijiunga na Dortmund Julai 2018 na amefunga magoli saba katika mechi 53 kwenye Bundesliga.
Kocha wa Inter, Antonio Conte, anavutiwa sana na Hakimi na Inter wako tayri kumnasa kutoka Real. Inter, wapo nafasi ya tatu lakini pia wana matumaini ya kumnasa kiungo wa Brescia Sandro Tonali, ambae ada yake ni €35m.
Lydia Emmanuel Magoti
Nijambo zuri kwake
Magdalena
Bora mnavyomchukua hakimi ili awanyanyue kisoka
Zeiyana
Inter watafanya viizuri wakimwaga wino kwa hakimi
Devotha
Wamchukue tu ili waweze kuimarisha vema kikosi chao
Genia Sikaluzwe
Ni Jambo jema sana hilo
Hidaya
Bora inter wamchukue anaweza kuleta maajabu mapya
Dorophina
Hakimi atawasaidia kuinua kikosi kwa kiasi fulani
David Pere
No habari nzuri kwa mchezaji husika maana mchezaji nzuri siblazima kucheza timu moja
felister
habari njema kwa mashabiki wa inter
Caroline
Karibu sana Inter
Isaya massawe
Inter Milan nafikiri atapata nafasi ya kucheza na kukua zaidi kisoka
Ernest
Achraf Hakimi Kusema kweli hapati muda mwingi wa kucheza ndani ya club ya Madrid, ni vizuri kuangalia bahati yake sehemu nyingine.
Sadick
Achraf Hakimi anafasi ya kucheza Real Madrid #meridianbettz
Elika
Wafanye hivyo labda itasaidia
Mwajuma
Uwamuzi mzuri kila rakheli kwao
Shafii
Litakua bonge LA deal endapo watafikia makubaliano na time husika
lombo
gud news mambo ni moto
isha
Kila la kheri hakimi na pia hongera kwa kusaini mkataba mpya
Mariam mtandama
Habari mjema
Rehema
Gud news
Jullie
Habari mpya hii kwa Italia
Rehema Dickson
hapati muda mwingi wa kucheza ndani ya club ya Madrid, ni vizuri kuangalia bahati yake sehemu nyingine.
warda
Dogo anabidii sana timu atakayoenda watafaidi sana#Meridianbettz
nasra
Asantee kwa habari njema
Angelina
Ni habar nzuri
Leonard
Ni dili zuri kwa inter kama wakikamilisha
Hope mwaikuka
Habar nzur
Povel
Kama watafanikiwah utakuwah poa sana
Issa
Inter itakua imefanya la maana kumchukua ili safu ya ulinzi iimarike
Furahav
Huyu kijana namkubali sana.
Ester jackson
Hakima bora aende inter mana real Madrid anawekwa bench Mara kwa Mara bora aende tu huko labda anaweza kuokota dodo
Frank Patrick
Conte ni coach mzuri kwa wachezaji wa aina ya hakimi tusubiri kumuona atafanya nini pale Italy
Hamidu
Habari njema kwa mashabiki wake & timu ya intermilan kwa ujumla Kama watamsajili litakuwa chaguo sahihi kwa intermilan# meridianbettz
Gabriel
Antonio Conte anamkubali sana Hakim na ukiangalia kwel kabisa hakim n bonge la mchezaji hivyo anauwezo kabisa wa kumshawishi straka huyo kujiunga na club ya inter
# meridianbet Tanzania
tumaini
Maoni:habar njema kwao
Amiri Kayera
Inter Milan inasuka kikosi sana wanajamb lao uefa ya mwakani
Hidaya
Bora inter wamchukue anaweza kuleta maajabu mapya
Neema juma
Habari njema sana
farida ahmadi
Itakuwa vzr akiamia inter aongeza nguvu kwenye timu sio mbaya kambi popote
Samiah
Anaweza kuleta maajabu bora Inter wamchukuwe
neema hassan
Asante kwa taarifa..
Njiku
Antonio konte kumtaka hakimi nisahihi kwa sababu hakimi nimchezaji mzuri sanaa
Omary lukumbi
Ni mchezaj mzr anacheza nafasi nyingi sana dimban wakimpata inter itatisha sana msimu ujao
mwakalosi
real sidhani kama wanweza kumuachia huyu
Salma
Maamuzi ni yake
Latifa juma mohamed
Habar murua
Theckla
Ni bora pengine huenda ikamsaidia kuonyesha uwezo aliokuwa nao
Evaluziga
Bora inter wamchukue anaweza kuleta mabadiliko
Fatuma kasomo
Ananafasi ya kucheza real Madrid
Sabrina
Maoni:Asante kwa taarifa
Tatu
Jambo jema