Achraf Hakimi amebainisha kuwa Antonio Conte alikuwa na nafasi kubwa sana kumshawishi ajiunge na klabu ya Inter Milan.
“Aliniita na kunifanya nijione muhimu”
– Achraf Hakimi
Winga huyu wa zamani wa Real Madrid na Borussia Dortmund, alizungumzia hamasa yake kujiunga na Inter msimu wa joto uliopita kwa dau la €40m.
Nyota huyu wa miaka 22 anasema kuwa Conte alimuita na kumshawishi kuijiunga na klabu, kufuatia wito huo alijiona kuwa sehemu muhimu.
Akizungumzia hali ya sasa na kikosi cha Conte, anasema kuwa anadhani ni wakati wao kuanza kushinda Italia na Ulaya kwa ujumla.
Hakimi anasema anajali watu wanaolielewa soka na wanamkubali na kuutambua mchango wake kwa namna anavyocheza.
“Ninachojali ni wale wanaoelewa soka na kukubali namna ninavyocheza. Hapa, nimejifunza namna ya kujilinda vizuri zaidi ya nilivyokuwa mwanzo.
– Achraf Hakimi
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.
Adelta
Yuko sahii
Johnmary jo
Amefanya vizuri
Sarah
Yuko sawa
Lydia Emmanuel Magoti
Yupo sahii
Magdalena
Alifanya vizuri Sana kumshauri
Elika
Amefanya vizur
Sauda
Sahihi kabisa
[email protected]
Yuko sahihi
Furahav
Pambana kijana.
Caroline
Safi
aisha
Nice
Amiri Kayera
Safii
Issa
Conte noma
neema hassan
Vizurii
Khadija
Yupo sahihi
Mwanahamisi
Vizuri