Hakimi: Conte Alinishawishi Kujiunga Inter

Achraf Hakimi amebainisha kuwa Antonio Conte alikuwa na nafasi kubwa sana kumshawishi ajiunge na klabu ya Inter Milan.
“Aliniita na kunifanya nijione muhimu”
– Achraf Hakimi

Winga huyu wa zamani wa Real Madrid na Borussia Dortmund, alizungumzia hamasa yake kujiunga na Inter msimu wa joto uliopita kwa dau la €40m.

Nyota huyu wa miaka 22 anasema kuwa Conte alimuita na kumshawishi kuijiunga na klabu, kufuatia wito huo alijiona kuwa sehemu muhimu.

Achraf Hakimi Inter

Akizungumzia hali ya sasa na kikosi cha Conte, anasema kuwa anadhani ni wakati wao kuanza kushinda Italia na Ulaya kwa ujumla.

Hakimi anasema anajali watu wanaolielewa soka na wanamkubali na kuutambua mchango wake kwa namna anavyocheza.

“Ninachojali ni wale wanaoelewa soka na kukubali namna ninavyocheza. Hapa, nimejifunza namna ya kujilinda vizuri zaidi ya nilivyokuwa mwanzo.

– Achraf Hakimi

PESA IPO HAPA KATIKA KASINO YA LUCKY LUCKY.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

16 Komentara

    Yuko sahii

    Jibu

    Amefanya vizuri

    Jibu

    Yuko sawa

    Jibu

    Yupo sahii

    Jibu

    Alifanya vizuri Sana kumshauri

    Jibu

    Amefanya vizur

    Jibu

    Sahihi kabisa

    Jibu

    Pambana kijana.

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Conte noma

    Jibu

    Vizurii

    Jibu

    Yupo sahihi

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

Acha ujumbe