Klabu ya Tottenham na Southampton hatimaye wakubaliana ada ya uhamisho wa Pierre-Emile Hojbjerg. Makubaliano ya ada ya nyota huyu yamechukua takribani wiki zima, kabla ya pande hizi mbili kufika muafaka.
Spurs hapo awali walikwama kwa hesabu ya Southampton ya 25m kwa staa huyu wa Kidenmark, ambaye ni mwaka mmoja tu umesalia kwenye mkataba wake.
Klabu hizo mbili sasa zimekubaliana ada ambayo ni chini ya hiyo, lakini ni zaidi ya ofa ya awali ya $ 15m waliyoitoa Spurs.
Klabu zingine tatu, pamoja na Everton, awali zilitaraji kutoa ada ambayo ingekubalika na Spurs.
Lakini mchezaji huyo wa zamani wa Bayern Munich mwenye umri wa miaka 25, ambaye alitolewa kwenye majukumu ya unahodha baada ya kumwambia meneja Ralph Hasenhuttl kuwa hataongeza kandarasi yake, anajiandaa kuhamia London kaskazini.
Southampton sasa wanatumaini kuwa kufanikiwa kwa mazungumzo juu ya Hojbjerg kunaweza kurahisisha kupatikana kwa Kyle Walker-Peters kutoka Spurs kwenda kule St Mary’s.
Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.
Amiri Kayera
Saf Sana arsenal
Sabrina
Hongera Arsenal
Devotha
Habari njema sana
Gabriel
Hatimaye makubaliano yamefanyika kufikia muafaka maana imechukua muda sana mpk kufikia muafaka huo kwa upande wangu Pierre -Emile hajbjerge ni bonge la mchezaji kutoka Hotspur maana tumeona club kibao nazo kumuwekea dau Kama evarton ila muafaka umefanyika hatimaye Southampton kufikia makubaliano ya kumchukua kwa pound 25m kwa upande wangu nilijua watamchukua Everton kutokana na Sanchez kucheza kwa mkopo na mkataba kufikia ukingon ila Southampton kumtwaa Pierre-Emile hajbjerge n habar njema sana 👍
Rehema
Safi arsenal
Latifa juma mohamed
Good news
David Pere
Spurs hapobwamepta mchezaji maana jamaa anajua sanaa Yani akiwa uwanjani anajua majukumu yake
Theonestina
Hongera arsenal
Mwajumah
Hongera arsenal#Meridianbettz
Dorophina
Arsenal wamejua kuchagua wamepata player mzuri
magdalena
tottenham wamejipatia kijana mzuri hakika hawatojutia pesa zao walizozitumia katika harakati za kumpata
Mwanahamisi
Hongera arsenal
Khadija
Safi sana Arsenal#meridianbettz
Zeiyana
Naona kwa mbali arsenal ile ya zamani inarudi
Caroline
Sawa
Fatina mfingi
Makal nzur
Sadick
Tottenham ina wachezaji wa kutosha nafasi ya kiungo nashangaa bado inaendelea kununua wachezaji nafasi hiyohiyo#meridianbettz
Samiah
Hongera Arsenal
felister
safi sana arsenal
Lydia Emmanuel Magoti
Safii sana
Sauda
Safiiii
Frank
Watu wa Mou
Tatu
Habari nzuri kwa mashabiki wa arsenal
Shafii
Gud news.
Furahav
Habari nzuri
Saupha mohamed
Hongera arsenal
farida ahmadi
Safiiii Sana arsenal
Hope mwaikuka
Vzur
Fatuma kasomo
Gud news
Omary lukumbi
Hongera spurs
Neema juma
Pongezi kwa arsenal
Ernest
Hili ni deal zuri sana kwa Hojbjerg
aisha
Mmetisha sana Arsenal
Povel
Deal done spurs
warda
Imekaa poa sana hii