UONGOZI wa Klabu ya Simba SC inasubiri ripoti ya Kocha Fadlu Davids ili kumaliza hatima ya Kiungo Fabrice Ngoma katika klabu hiyo hivi karibuni
Ngoma anataka mkataba wa miaka miwili na Simba SC wamesisitiza hawatampa ofa hiyo bali wapo tayari kumpa mkataba mpya wa mwaka mmoja tu.
Simba SC inasubiri maamuzi ya mwisho ya Kocha ili kufanya uamuzi wa kumbakiza Ngoma kwa mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongeza mwaka mmoja zaidi au kuachana nae.
This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Strictly Necessary Cookies
Strictly Necessary Cookie should be enabled at all times so that we can save your preferences for cookie settings.
If you disable this cookie, we will not be able to save your preferences. This means that every time you visit this website you will need to enable or disable cookies again.